Recent content by FIGO

  1. F

    Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

    Mungu alituachia free will,ili tuchague mema na mabaya, imagine dunia bila dhambi..!sijui kama tungetambua uwepo wa mungu, shetani yupo ili tumshinde usidanganyike na elimu ndogo uliyonayo na kuiona biblia kama utenzi eti unabeza na unaomba ushahidi wa uwepo wake..nkikwambia nimemuona jana...
  2. F

    NYERERE ndiye aliyefanya makosa na anastahili kulaumiwa katika swala la muungano

    Weka wazi,dont speek fallacy,we dont need either side to loose. Usipanic Give me facts,
  3. F

    NYERERE ndiye aliyefanya makosa na anastahili kulaumiwa katika swala la muungano

    Nadhani sasa ni muda muafaka wa kuhama hili jukwaa,mnatufanya waislam wote tuonekane wajinga. Yani we kwa sababu una kisimu chako unadhani unaweza kucomment chochote.
  4. F

    NYERERE ndiye aliyefanya makosa na anastahili kulaumiwa katika swala la muungano

    We yaani kufikiri kwako kumeishia kwenye rennaisance, unadhani kumchallange mwalimu kwa lawama ndo ujuaji? Nyerere ni mtu kama wwe lakini alikua far beyond wewe..kwani kuna ubaya gani kukubali watu waliokushinda uwezo? Mbona hujafanya chochote kuzuia bei ya umeme kupanda?hauko realistic..hebu...
  5. F

    Kitu usichokijua kuhusu ‘juisi ya boksi’

    Ndio mzizi mkavu,kumbuka yafuatayo, 1.matunda hukamuliwa na kuifadhiwa kwa njia za kienyeji na kisasa preservative inayotumika mara nyingi ni sodium benzoate inayokubalika kama food grade..kuifadhi na kusindika matunda ni vizuri kiuchumi kwa kuyaongezea thamani na pia matunda ya aina moja...
  6. F

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Upuuzi,respond kwenye hoja..Albert Einstein alifail shule pia,Bill gates, na wengine wengi wakafanya mambo makubwa.And kama ni kahome boy kako si tufanyeje,mi jirani yangu...so what?attach hoja zake za kiubinafsi za kutokuitakia mema chadema, kujidai wanajua kuliko watanzania wengine,kuandaa...
  7. F

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    So stupid, hakuna shaka hata wanao unawambia hivo kuhusu baba yako,just clean your ass and slip.
  8. F

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Sijajua we ni jinsia gan,nahisi ni homosexual kwa kutokua na misimamo,we mwenyewe usiemkubali mwalimu unamtaja kama ur favourate president na kama best leader, hoja nyingi za wadau umezijibu kwa mipasho..may be this is not ur place young lady nenda kwenye blog za saizi yako ukakoment kuhusu...
  9. F

    Tuhuma dhidi ya Mhe. Mbowe kupewa fedha: Hatua za kisheria kuchukuliwa

    Kama zitto alivotumiwa kama zitto,to receive/give from/to a right person, at a right time for a right reason is noble and honest. Mbowe hafai kama Zitto aseme alipokea kwa malengo gan? Kudhoofisha au kujenga chama. Chadema hakuna kiongozi pale,ni wajasiriamali wa siasa na wanaharakati tu.
  10. F

    Tuhuma dhidi ya Mhe. Mbowe kupewa fedha: Hatua za kisheria kuchukuliwa

    Hebu ntajie sifa za vincent nyerere anza na elimu yake..usidanganye coz nafahamu.
  11. F

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Insane..mtoa mada umeipresent kwa bias,umeipresent kwa udini na chuki..ni kosa kujistify ugoi goi wa Jk eti kwa sababu mwalimu alikua goi goi..ni ujinga. Usilinganishe kasi ya ukuaji wa maendeleo sasa na wakati ule mf.hakuna resource ya nchi hii ambayo haijauzwa hivyo kuongeza wigo wa kodi...
Back
Top Bottom