WAKALA YA BARABARA TANZANIA, TANROADS - IRINGA INAWATANGAZIA WAKAZI WA MKOA WA IRINGA NA WATUMIAJI WA BARABARA KUU YA TANZAM, KUTAKUWA NA MATENGENEZO YA DARAJA LA IPOGOLO KWENYE MTO RUAHA MDOGO KUANZIA AGOSTI 17 JUMATATU HADI OCTOBA 17, 2026.
KUTOKANA NA MATANGENEZO HAYO YA DARAJA, BARABARA...
Madeleka ana bahati sana hajapotezwa.
Baada ya Presha ya Mitandaoni Polisi wakiri kumshikilia.
====
TAARIFA KWA UMMA
POLISI DAR ES SALAAM INAMSHIKILIA WAKILI PETER MADELEKA KWA TUHUMA ZA KUDHARAU AMRI YA MAHAKAMA KUU
Mnamo tarehe 14 Agosti, 2026 saa 09.30 alasiri eneo la Mikocheni B...
Wanaoenda Kizimkazi ni watu wanaokula Nchi. Ni Mafisadi, Wahujumu Uchumi, na Wana CCM wnaaofaidika na Chama
Sasa wewe hela ya kwenda Kizimkazi huna. Ni CCM kweli? Si Bora ujiunge na Masikini wenzio CHADEMA?
Kwamba usipoenda Kizimkazi unaonekana humuungi Mkono Samia.
Ili kujiipendekeza ni...
Luhaga Mpina atema Cheche tena DW Radio . Akosoa Samia kuunda tume. Amesema ana masha nayo.
Akosoa Tume kuelekezwa cha kufanya. Mfani; Kachunguze nani katoa hela.
Kakosoa Hahdidu za Rejea
Hadidu za rejea ndio huleta maana. Haziwezi kuwa siri kwani mambo kama haya yanatakiwq yawe wazi...
Mkuu leo sina muda wa kutosha wa kuandika. Ila kama una muda wa kutosha unaweza ukakopi hapa kwenye link na ukaja kupaste watu wasipitwe. Si wote wapo Facebook
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.