Recent content by figganigga

  1. figganigga

    Eti George Sanga kasaliti mabadiliko. Kajiunga CHAUMMA

    Wapi nimetaja kasaliti umma wa watanzania? Saa nyingine unajiabisha tu. Punguza kupayuka
  2. figganigga

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Wapi nimekutishia maisha? Usitake kunichafua.. Mimi ni nani hadi nitishie watu? Huna cha kuongea kaa kimya..
  3. figganigga

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Kwani wanapokea Rushwa? Niliuliza mtu aliyewahi kuwaoonga LATRA wakahhongeka ajitokeze, hakuna hata mmoja alowasema vibaya.. Ikanihakikishia kumbe LATRA wapo Vizuri.. Ngoja tuone kwenye hili sekeseke lijalo, labda watahongeka.. Usiache kushare experience yako ya kudeal na LATRA
  4. figganigga

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ni Mamlaka ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya LATRA Sura ya 413. Sheria hii ilifuta Sheria ya iliyokuwa Mamlaka ya Udhibiti wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA). LATRA imepewa jukumu la kudhibiti sekta ya usafiri ardhini, hususan usafiri wa mizigo na...
  5. figganigga

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Hakuna Siri, tunakumbushana tu.. Ila unapewa angalizo pia. Hutaki unaacha.. LATRA YAONGEZA SIKU 90 KWA MADEREVA KUJISAJILI
  6. figganigga

    Dereva wa Tanzania kaa chonjo.. Kuanzia Aprili kiama kinakuja kama hujajisajili LATRA

    Salaam Wakuu, Naona LATRA imeamua kula sahani moja na Madereva, Safari hii itakuwa kumbakumba nguo kuchanika. Ipo hivi; Kuanzia mwezi wa nne 2026, kama wewe ni Dereva na haujajisajili LATRA, Au unenunua vyeti feki, Madereva mnaonunua barua za uhakiki na hamna vyeti, madereva wanaonunua...
  7. figganigga

    Eti George Sanga kasaliti mabadiliko. Kajiunga CHAUMMA

    George Sanga, msaliti wa Watanzania, amezua mjadala mpana katika jamii kufuatia hatua yake ya kubadili msimamo na kuacha njia ya mapambano ya haki na demokrasia. Kitendo chake kinatazamwa na wengi kama usaliti mkubwa dhidi ya jitihada za pamoja zilizojengwa kwa muda mrefu kwa gharama na mchango...
  8. figganigga

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Ndio... Kilikuwa kipindi cha Kampeni.. Kumstaafisha ni kumnyia kura. Wakamnyima kweli
  9. figganigga

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Sijasikia neno kumuua.
  10. figganigga

    Umoja wa Afrika wampa Jakaya Kikwete Mamlaka ya kuendeleza diplomasia, kuwezesha mazungumzo ya kisiasa katika Kanda. Je, AU wana taarifa ya 29 Oktoba?

    Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf, ametangaza uteuzi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwa Mwakilishi Mkuu wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu. Katika jukumu lake Rais Kikwete ataunga mkono juhudi za Umoja wa Afrika...
  11. figganigga

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Hadi kufikia 2030, CCM Watamalizana. Kila mmoja anautaka urais
  12. figganigga

    Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa Msumbiji

    Ulivyo uliza swali watu watahisi wewe msomi.. Kabla ya kuuliza swali umesoma Thread?
Back
Top Bottom