Recent content by figganigga

  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Iringa: Asante TANROADS, Daraja la Ipogolo kutengenezwa. Magari sasa kupitia Kilolo

    WAKALA YA BARABARA TANZANIA, TANROADS - IRINGA INAWATANGAZIA WAKAZI WA MKOA WA IRINGA NA WATUMIAJI WA BARABARA KUU YA TANZAM, KUTAKUWA NA MATENGENEZO YA DARAJA LA IPOGOLO KWENYE MTO RUAHA MDOGO KUANZIA AGOSTI 17 JUMATATU HADI OCTOBA 17, 2026. KUTOKANA NA MATANGENEZO HAYO YA DARAJA, BARABARA...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    🎉🎉🎉🎉🎉
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Hela zililiwa. Dar ina Sitendi Nne. Mbagala, Bunju, Ubungo na Kigamboni.
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Polisi: Madeleka tunamshikilia kwa kudharau amri ya mahakama Kuu

    Madeleka ana bahati sana hajapotezwa. Baada ya Presha ya Mitandaoni Polisi wakiri kumshikilia. ==== TAARIFA KWA UMMA POLISI DAR ES SALAAM INAMSHIKILIA WAKILI PETER MADELEKA KWA TUHUMA ZA KUDHARAU AMRI YA MAHAKAMA KUU Mnamo tarehe 14 Agosti, 2026 saa 09.30 alasiri eneo la Mikocheni B...
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kakopa hela aende Kizimkazi asionekane Msaliti. Ujinga

    Naogopa kuongea sana nisikufuru🤣🤣
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kakopa hela aende Kizimkazi asionekane Msaliti. Ujinga

    Kwani chato hakuna Serikali?
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kakopa hela aende Kizimkazi asionekane Msaliti. Ujinga

    Hakika.
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kakopa hela aende Kizimkazi asionekane Msaliti. Ujinga

    Wanaoenda Kizimkazi ni watu wanaokula Nchi. Ni Mafisadi, Wahujumu Uchumi, na Wana CCM wnaaofaidika na Chama Sasa wewe hela ya kwenda Kizimkazi huna. Ni CCM kweli? Si Bora ujiunge na Masikini wenzio CHADEMA? Kwamba usipoenda Kizimkazi unaonekana humuungi Mkono Samia. Ili kujiipendekeza ni...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Wote wawili hakuna baba wa mtoto. Mwanamke Malaya hana soni ya kumfanyia Uraghai mwanaume. Lakini pilipili usioila inakuashia nini? Umewapima DNA?
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Serikali ijiondoe kwenye mambo ya kuunda Tume ya Uchunguzi kwani Mtawala aliyopo madarakani anahusika na Vurugu za 2025

    Luhaga Mpina atema Cheche tena DW Radio . Akosoa Samia kuunda tume. Amesema ana masha nayo. Akosoa Tume kuelekezwa cha kufanya. Mfani; Kachunguze nani katoa hela. Kakosoa Hahdidu za Rejea Hadidu za rejea ndio huleta maana. Haziwezi kuwa siri kwani mambo kama haya yanatakiwq yawe wazi...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mwenye update ya kesi ya Lisu atuwekee hapa. Naona Hilda "amekabwa koo"

    Mkuu leo sina muda wa kutosha wa kuandika. Ila kama una muda wa kutosha unaweza ukakopi hapa kwenye link na ukaja kupaste watu wasipitwe. Si wote wapo Facebook
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Sasa mimi yaninuhusu nini? Kwa upande wangu namuombea mabaya. Hivyo mimi si mwenzio.. So hajafa?
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Mimi na wewe nani muongo. So tukuamini kwa maneno haya ulobwabwaja?
  14. figganigga

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Ulaghai na utapeli
Back
Top Bottom