Recent content by figganigga

  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Angalia Polisi anavyo simama kwenye Moshi wa Bangi wala hapigi chafya, eti ni Ukakanavu

    Wakati wenzake wamevaa barakoa na wamesimama pembeni ya moshi, Polisi yeye kuonesha ukakamavu, kasimama kwenye moshi wa bangi bila hata barakoa🤣🤣🤣 Tukio hili limetokea wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu likiteketeza shamba la bangi lenye ukubwa wa zaidi ya ekari moja katika Kijiji cha...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Zipi hizo? Wamesema kupanda miti na kuweka sehemu za watu kukaa.. Nyingine ni zipi? Zitaje. Kumbuka miti tulishapanda na imekomaa.. Je, watang'oa wapande mingine?
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Hela za Tanganyika zimehamishiwa Zanzibar. Sasa wanajenga KM mbili za Barabara kwa Bilioni 50+ Kumbuka Bajeti ya Miundombinu ya Zanzibar ni Bilioni 400 tu kwa mwaka 2026/2027 .. Sasa kama Bilioni 50 zinajenga Kilometa mbili, Mishahara, Matumizi mengine itakuwa bei gani? So kwa Mwaka Zanzibar...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Rais Trump, huyu Mzanzibari Samia Suluhu akikusumbua, mfuate kama Nicolás Maduro, Ramani hii hapa

    Uende wapi? Hapa ndo umefika
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA kwenye mazungumzo mazito na DPP kuhusu hatma ya Lissu

    Huwa napenda propaganda kama hizi. Sio vizuri siku iishe bila kupata kichekesho kama hiki
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

    Una mkono wa dhahabu kaka. Hongera sana
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

    Pascal Mayalla ukihariri uwe unaacknowledge.. Ili kuweka kumbukumbu sawa kwa miaka ijayo
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

    Sasa mbona tume ilitudanganya? Hizi ambazo umefichua leo ni Takwimu mpya kabisa kaka yangu Mayala
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Rais Trump, huyu Mzanzibari Samia Suluhu akikusumbua, mfuate kama Nicolás Maduro, Ramani hii hapa

    Shida zangu zinakuhusu nini? Kwani shida zote ninazopitia umenisaidia nini hadi unionee huruma?
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Rais Trump, huyu Mzanzibari Samia Suluhu akikusumbua, mfuate kama Nicolás Maduro, Ramani hii hapa

    Salaam Rais Mpendwa Donald Trump, wewe ni mtu unayesikiliza watu wote kwani hubagui. Nilipenda ulivyomfundisha adabu aliyejipachika Urais Venezuela bwana Nicolás Maduro. Isiishie kwa Maduro tu, njoo na Tanzania Baba, Yupo mwingine kajipachika Huyu Mzanzibari Samia akiwa Tunguu Zanzibar...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia hakwenda kumzika Bi. Suzan Magufuli, Mama wa aliyekuwa Rais wa Tanzania?

    Anajutia kufa kwa Magufuli.. Na anajua Familia ya Magufuli haimpendi
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Sioni sababu watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara

    CCM wanahojiana na kujijibu.. Kikeke tangu agombee kupitia CCM, hajiamini tena
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu , alitudanganya kapunguza Misafara

    Samia Suluhu, alitudanganya kapunguza Misafara. Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne. Tulitafuta Rais tukampata Samia.. Anatumia Mali za Tanganyika.. Anajua hana cha kupoteza.. Kuna wajomba zake Oman Note: Hii ni Propaanda
  14. figganigga

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Wanalazimishwa.. Utafanyaje mkuu? Hijawahi kukukuta ugenini
Back
Top Bottom