Recent content by figganigga

  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mussa Ismail Bad anayehusanishwa na Emmanuel Nchimbi atekwa

    Si mlificha mkijua hatutajua.. CCM ni wajinga sana. Mwenzenu akipotea hamsemi
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Arusha: Mwili wa Bodaboda aliyekuwa kapotea wakutwa umekatwa shingo na kutobolewa macho

    Hamis Idd Masimba, mwenye umri wa miaka 24, dereva wa bodaboda katika kijiji cha Mlima CCM, Kata ya Murieti jijini Arusha, aliyeripotiwa kupotea, mwili wake umekutwa katika Kata ya Olasiti ukiwa na majeraha makubwa, ikiwemo kukatwa shingo na kutobolewa macho. Wakizungumza, ndugu za marehemu...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mussa Ismail Bad anayehusanishwa na Emmanuel Nchimbi atekwa

    So why hamkuleta taarifa mapema?
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mussa Ismail Bad anayehusanishwa na Emmanuel Nchimbi atekwa

    Huyu kijana ni mwanachama wa CCM anaitwa Mussa Ismail Bad ni timu ya Emmanuel John Nchimbi kumbe alitekwa na watu wasiojulikana. Wanaharakati hawakutilia maanani sababu aalikuwa nzi wa kijani. Alikuwa anatokea msikiti wa Manyema kuswali baada ya kumaliza shughuli zake ofisi ya Chama cha...
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kwanini homework za Wanafunzi zinafanywa na Wazazi? Punguzeni ujuaji

    Homework inasaidia watoto wasizurure. Pia inasaidia kuwakumbusha walichojifunza
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Arusha Ungalimited Maeneo ya Soko Mjinga alikuja Polisi akakamata vijana wawili akawafunga Pingu, akaanza kwenda nao kituoni sasa cha ajabu njiani akaanza kuwapiga na fimbo kichwani mmoja damu zikaanza kumvuja. Basi Vijana hao walimkamata polisi kama unavyoona kwenye video, wakamtembezea...
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kwanini homework za Wanafunzi zinafanywa na Wazazi? Punguzeni ujuaji

    Unamkutana kakazana na simu anafanya homework ya mtoto.. Halafu mtoto akapata merks zote anafurahi. Swali maswali kafanya mtoto au Ai?
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania Makosa ya barabarani na point zake zitakazowekwa kwenye leseni. Kila leseni itakuwa na jumla ya pointi 15

    KANUNI ZA POINTI ZA LESENI ZA UDEREVA RANGI NA THAMANI YA POINTI KWA MAKOSA YA BARABARANI (G.N. No. 420) SEHEMU YA KWANZA (PART ONE) Na.| Kosa la Barabarani (Offence)| Thamani ya Pointi 1| Kutumia chombo cha moto au trela lisilosajiliwa| 1 Pointi 2| Kushindwa kuweka namba za usajili (plate...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    CDF ataulizwa swali moja tu. Yupo wapi afande Tesha
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Mguu mbele mguu nyuma

    Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Yaani ni kwamba hapo alipo ni mguu mmoja nje mguu mmoja ndani.. Yaani mguu mbele mguu nyuma. Sijajua ni nini kimetokea kati yake na Mzanzibari Samia Suluhu Hassan. Hata sasa hivi nikisikia kwamba katemwa siwezi kushituka.. Japo...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Polisi wanajichukulia cheria mkononi
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Hahahaa
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kusema Majaji ni maCCM ndiyo kauli mbaya kuliko zote kwenye kesi ya Mh. Lissu

    Sheria inasema kwamba ukiwaita CCM ndo unakuwa umetenda uhaini? Unajua kosa analotuhumiwa nalo Tundu Lissu?
  14. figganigga

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Ndio. Hata kabla hajafukishwa mahakamani nilimuona
Back
Top Bottom