Hamis Idd Masimba, mwenye umri wa miaka 24, dereva wa bodaboda katika kijiji cha Mlima CCM, Kata ya Murieti jijini Arusha, aliyeripotiwa kupotea, mwili wake umekutwa katika Kata ya Olasiti ukiwa na majeraha makubwa, ikiwemo kukatwa shingo na kutobolewa macho.
Wakizungumza, ndugu za marehemu...
Huyu kijana ni mwanachama wa CCM anaitwa Mussa Ismail Bad ni timu ya Emmanuel John Nchimbi kumbe alitekwa na watu wasiojulikana. Wanaharakati hawakutilia maanani sababu aalikuwa nzi wa kijani.
Alikuwa anatokea msikiti wa Manyema kuswali baada ya kumaliza shughuli zake ofisi ya Chama cha...
Arusha Ungalimited Maeneo ya Soko Mjinga alikuja Polisi akakamata vijana wawili akawafunga Pingu, akaanza kwenda nao kituoni sasa cha ajabu njiani akaanza kuwapiga na fimbo kichwani mmoja damu zikaanza kumvuja.
Basi Vijana hao walimkamata polisi kama unavyoona kwenye video, wakamtembezea...
KANUNI ZA POINTI ZA LESENI ZA UDEREVA
RANGI NA THAMANI YA POINTI KWA MAKOSA YA BARABARANI
(G.N. No. 420)
SEHEMU YA KWANZA (PART ONE)
Na.| Kosa la Barabarani (Offence)| Thamani ya Pointi
1| Kutumia chombo cha moto au trela lisilosajiliwa| 1 Pointi
2| Kushindwa kuweka namba za usajili (plate...
Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Yaani ni kwamba hapo alipo ni mguu mmoja nje mguu mmoja ndani.. Yaani mguu mbele mguu nyuma.
Sijajua ni nini kimetokea kati yake na Mzanzibari Samia Suluhu Hassan.
Hata sasa hivi nikisikia kwamba katemwa siwezi kushituka.. Japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.