Kwa sababu siamini kama ni kiwanda kweli, naona drone moja tu hapo nje. Ningeweza kuamini kama ningeona mashine za kutengeneza drones ndani ya kiwanda.....Hiyo ya kuonyesha drone moja tu halafu unasema kiwanda haitamwaminisha yeyote yule.
Viongozi wa Tanzania wana matatizo ya akili. just to say. Yaani mara waseme hivi halafu kesho wanabadilisha. Huu ni upumbavu mkubwa. Kitila Mkumbo kasema wanauwa ili kusapoti miradi iliyokwama kwa sababu hatujapewa pesa na wadau wa maendeleo . Huyu anaongea kitu ambacho hakielewekI. Kuna kipindi...
Pesa za serikali haziwezi kwenda makanisa, hii nchi imeibia sana kanisa, shule zote za kanisa, hospitali na miradi mingi ya kanisa iliibwa na hii serikali ya wapumbavu. Wanaopewa pesa za serikali ni hao makobazi, ambazo akili zao zipo makalioni.
Anaweza akawa, ila si hawa tuliowaona....Hawajui vigango vyao, hawajui maparoko wao, hawajui nyimbo za wakatoliki ambazo zinatumia nota, wao wanaimba mapambio.....Katoliki hakuna mapambio, hao wenye akili fupi hakuna hata mmoja hapo ni mkatoliki yule wa kubatizwa....Ni wahuni walioletwa na huyo...
Wewe fala uwe unanyamaza, Wakatoliki gani hawajui hata vigango au parokia zao???? Huyu pope ni wa 16 kwa akili yako? Kila siku anatajwa kanisani, wangekuwa wakatoliki wangejua......lakini hayo mataahira wanajua dini yao wenyewe ila hawawezi kuwa wakatoliki wanaoimba mapambio......KWA TAARIFA...
Wewe jipe moyo tu.....Kwa hiyo unaona Samuya anafaa? Kweli wewe akili yako haina akili. Kwenye vita lazima kuharibike halafu tutajenga tu. Wewe unatoa mifano hasi tu. Mbona Luanda, Angola leo ni mji mzuri na wa kuvutia na mafuta yanachimbwa vizuri tu. Acha kudanganya watu. Nafuu tuwe na magofu...
Wewe fala, tumeshaambiwa magari mangapi yamechomwa moto, pikipiki, police post, mwendakasi, sasa tunataka tujue wamekufa vijana wetu wangapi na pia tunataka tujue hao waliokufa ambao wazazi wao hawajapata hadi sasa wako wapi?
Huu ni uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, tunaona siku zote hata kwa wale wanaopigana iwe Israel vs Hamas, wanaojeruhiwa wanatibiwa hospitali, Russia na Ukraine, adui wanaoumizwa wanatibiwa hospital kama Vienna convention inavyotaka, jamani huyu shetani anaua bila huruma, watu wengi wameuawa...
Asante sana Askofu Pisa, watu wana haki ya kuwazika wafu wao. Leo Samia hajali na anawafukia kama mbwa kwenye makaburi ya pamoja, huo ni ushetani wa huyu mama asiye na heshima wala akili.Yaani anawaua halafu anawanyima maiti zao, anazila kama alivyoambiwa na mganga wake yule aliyemleta bungeni...
Kwanini MOD anaruhusu andiko ambalo haliwezi kuwa la kweli bali la kueneza chuki????Tangu lini TEC walishafanya/ wanafanya/au wanategemea kufanya biashara ya bandari? Hawa watu wanafanya JF idharaulike, kuna vitu vinavyofanana na ukweli, lakini suala la bandari liendeshwe na kanisa???????HIYO...
Wachukue na shule zao, sijui kama serikali itabaki na shule za maana, Shule zote za maana za serikali ni za kikristo zilizotaifishwa na Nyerere wakati nchi zingine hazikutaifishwa.....Ngoje nikuulize wewe.....Shule gani ya kiislaam ilitaifishwa? Hospital gani ya kiislaam ilitaifishwa? Taja...
Hili jambo linashangaza sana, Hivi hawa wanaowaua watu ni binadamu kweli au wanyama???? Au kwa sababu wana bunduki na wakubwa zao wanaona ni sawa tu kuuwa binadamu wenzio?Huyu mnayemuita waziri mkuu (Sijui ni waziri mkuu gani, maana hatukumchagua), Walinzi wake walihusika na kumpiga na kumuua MC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.