Recent content by Fidelis Ngemela

  1. F

    Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

    Ni kwa jinsi ulihelewa wewe ,,sisi tumehelewa kivingine . Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

    Kwa wale wanaojitambua tumemuelewa Zito , kweli ni ushamba kwenda kushangaa Ndege siku mzima ,Hanna KAZI za kufanya?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    Shaka: Lissu si mkweli, Abeid Karume, Dr. Kleruu na Mahinda walishambuliwa kwa risasi

    Hawa UVCCM wanakurupuka tu , hao wote waliotajwa kuuwawa, mbona wauwaji walikamatwa? Je waliuwawa katika mazingila kama ya Lisu ,(nyie watoto njaa mengine muwe mnanyamaza, sio lazima kujibu,)
  4. F

    Kingunge wewe ni wa kuhurumia, sidhani kama CCM nao ni wa kupokea mizoga

    Kwani kingunge amakwambia hana shida gani? Hacha ukihelehele wako,
  5. F

    Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

    Walikuwa wanamshangilia mugabe wako wapi mbona wanasherehekea kuondoka kwake ,
  6. F

    Hakuna haja ya upinzani watanzania wote wanampenda Rais Magufuli

    Wanaosingizia kuhama kwa kuhunga mkono niko njaaa yao na hela ziko nje nje ccm, lakini kumbuka mgabe alipata asilimia 90 lakini hata mwaka haukwisha aailimia 90wakamkataa ,
  7. F

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    Tujinadi nchi hiii tajili sana, kila siku wazungu analeta hela ,pesa za maaafa tunaficha, kwa nini tudahiwe ??
  8. F

    SAKATA la Bombadier: Tundu Lissu ni mmoja wa samaki wadogo. Atutajie zile kubwa

    Uzalendo ni nini , ? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. F

    CHADEMA ni demokrasia gani mnaitaka ilihali hamna demokrasia

    Vyama mbana ni vingi kwani lazima ujiunge na chadema? Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom