Kwa wale wanaojitambua tumemuelewa Zito , kweli ni ushamba kwenda kushangaa Ndege siku mzima ,Hanna KAZI za kufanya??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa UVCCM wanakurupuka tu , hao wote waliotajwa kuuwawa, mbona wauwaji walikamatwa? Je waliuwawa katika mazingila kama ya Lisu ,(nyie watoto njaa mengine muwe mnanyamaza, sio lazima kujibu,)
Wanaosingizia kuhama kwa kuhunga mkono niko njaaa yao na hela ziko nje nje ccm, lakini kumbuka mgabe alipata asilimia 90 lakini hata mwaka haukwisha aailimia 90wakamkataa ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.