Recent content by fibonaci

  1. F

    Mwenye kujua hii course, naomba maelezo ya kina

    Mimi nimesoma Masters yake ni bonge Moja ya profession.
  2. F

    Wazee hizi MDA na LGA ndio vitu gani haswa kwenye maswala ya utumishi?

    Je katika kazi za MDAs na LGAs ambazo usahili wake umepangwa kufanyika katika kanda nne naweza kubadilisha kanda ya kufanyia usahili.....mfano nimepangiwa kanda ya Dodoma lakini kwa sasa nipo Dar es Salaam?
  3. F

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Ahsante mtoa mada kwa kutengenezea kiwanja cha kufahamiana na kupeana fursa... Wakuu mimi ni mtaalamu wa masuala ya GIS yaani Geographical information systems. Kwa wale wenye uhitaji wa kutengenezewa ramani za maeneo mbalimbali kama maeneo ya miradi au kwa wale wanaofanya research kutengenezewa...
  4. F

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Msaada wakuu kwa walioweza kuapply udsm merit scholarship 2019/2020 msaada mimi nimeshindwa na nahitaji!!
Back
Top Bottom