Sasa naanza kuelewa ule msemo things in ground are different umesomea financial and risk management na upo certified kama ulivyosema nahisi unaongea sana theoretically sana than in ground vitu vilivyo unaweza ukawa unachambua and you have tips but let i think utakuwa kuna vitu unashindwa kwenye...
Mteja akihamisha hela bank moja kwenda nyingine let say alikuwa anapewa 6% then mteja anataka 7% utakataa hela yake lazima negotiate ili mteja mumchukue kumbuka kuna ushindani wa kibiashara na iyo 300 sijajua umeitolea wapi hadi unasema tunababaika nayo but ina impact kwenye mzunguko wa kibiashara
Either hujanielwa, au hujasoma maelezo vizuri niliyoyaandika.. ushawahi kuweka iyo fixed ya 300M ukapewa izo 3% ndani ya mwaka?pengine hujui fixed ni account maalumu na zinamature kutokana muda na rates zinatofautiana na muda unaotaka kuweka na kama hujui hii negotiation huwa inatokea mteja na...
Hongera chief, sema shida kidogo unaelimu ila unachokosea una attack ukibadirika kidogo tu utakuwa mtu mwenye mawazo ila ukiwa una attack unaweza ukawa una ujuzi lkn skills utakuwa una lack
Ofcoz uko sawa kabisa.. lakini hadi sasa bank imeshakusanya deposit na iyo product tyr ina mwaka kwenye market so unaweza usione ,izo risk management hazifanyiki lkn nikuambie kila kitu kinafanyika chief labda tu kumchunguza sana Bata hutamla ila nikuakikishie bank inasurvive na inafanya vyema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.