Recent content by fexcash

  1. fexcash

    Nafasi za Kazi: Digital Marketing Officers (Tourism & Hospitality Sector)

    Serikali imetangaza kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi, zingatia hilo.
  2. fexcash

    GE2025 Tumshukuru Samia kwa kutuvusha mpaka hapa, lakini tumwambie ukweli: Viatu havimtoshi

    Anko Magu alishamjambisha kidogo tu, sasa hivi amekuwa joga vibaya sana. Kaamua kuwa chawa mwandamizi ili abaki salama , watanzania ni wasaliti wapiga kelele kwenye keyboard ila ground utakuwa mwenyewe.
  3. fexcash

    Polisi Mtajigawa sana, tarehe 29, Ni heri mkae nyumbani au chukueni likizo maandamano yawe Huru

    Hakuna kifaru chakumlipua mtanzania you coward, mtabagazwa sana kwa akili hizi.
  4. fexcash

    GE2025 Mbinu za kuandamana na kuzuia maandamano tarehe 29 zinaingiliana kama ifuatavyo

    Kwa mimi nimekuelewa vizuri, umejaribu kutumia fasihi kutoa plans, bora hata wewe unayetumia keyboard kuchanganua, kuna wenzio waandishi walijiita hadi mabalozi wa Jamii forum leo wamefyataa vibaya sana. Big up Robert Heriel Mtibeli
  5. fexcash

    Wana mabadiliko na wapigania haki Wamekosa Godfather au Mastermind ndio maana ushindi unachelewa

    Ni kweli kabisa. Huu upande umesheheni cowards. Wanabweka tu kama mbwa koko na kusahau.
  6. fexcash

    Polisi: Taarifa za kutoweka kwa Rogers Yohana (34) tumezipokea, tumeanza uchunguzi

    Watanzania ni maku** tu wameona kabisa mtu anachukuliwa na watu 3 wanakimbilia kuja kuandika mitandaoni. Msaada ulitakiwa kutolewa palepale huku mtandaoni utapata msaada gani?
  7. fexcash

    Kama Humphrey Polepole atabahatika kukutana na Ben Saanane na Mdude Nyagali naomba awambie yafuatayo

    Watanzania wote ni makuma tu, woteeee ni keyboard warriors.
  8. fexcash

    Tarehe 29 Oktoba, piga kura yako mapema na nenda nyumbani

    Vijana wenzangu, nguvukazi ya taifa hili punguzeni kuwajibu watu wanaotoa matamko kama haya. Wapo kupima upepo mpaka sasa zimebaki siku chache sasa wanataka kujua haya maji yanaspeed gani. Tusiwajibu kwa maneno tuwasuprise kwa vitendo. Over
  9. fexcash

    GE2025 Mpango mkakati maalumu siku ya Oktoba 29, 2025

    Sawa ila kila jambo linaanza na wazo.
  10. fexcash

    GE2025 Mpango mkakati maalumu siku ya Oktoba 29, 2025

    Lazima tujue kuwa ni mashindano ya mtu asiye na silaha vs mwenye silaha kali na dola, kwaiyo lazima tumfanyie analysis kwanza kutafuta mapungufu yake. Na ipo wazi kabisa mapungufu yake ni akili, wanatumia nguvu kuliko akili. Tukijipanga na kuweka matumizi makubwa ya akili tutatoboa.
  11. fexcash

    GE2025 Mpango mkakati maalumu siku ya Oktoba 29, 2025

    Jambo la uwakika lazima liwe na mipango madhubuti, kuandamana kama walivyofanya wakenya ule ni uzwazwa tutapigwa sana na hatutafanikiwa.
  12. fexcash

    GE2025 Mpango mkakati maalumu siku ya Oktoba 29, 2025

    Najua hilo na ndio maana nikasema kuwe na forum za siri kama hamtoweza kufanya kwa kikundi basi tengeneza agenda zako mwenyewe na sifanyie kazi kama unajimudu la sivyo tutabaki tunajidanganya tu kwenye mitandao na hakuna kitu kitakachotokea.
  13. fexcash

    GE2025 Mpango mkakati maalumu siku ya Oktoba 29, 2025

    Vijana wenzangu siku ya tarehe 29 October ni siku yetu ya kuikomboa Tanzania na kujenga Tanzania mpya. Sasa basi tusipelekeshwe na wanasiasa maana hawa ndio vigeugeu wakutuchomesha maana wengi ni double agents. Najua wapo vijana wengi wasomi wenye uwezo wakutengeneza forum za siri ambazo...
  14. fexcash

    Mtu Mmoja ana pledge 500M Kanisani kazipata wapi? Kuna mambo yanahitaji Uchunguzi

    Tafuta pesa mzee hukuwepo wakati anazisaka unampangia vipi kuspend. Mwache afanye anachotaka pesa anayo. Bora yeye katoa kanisani.
Back
Top Bottom