Nimeishi na kupita maeneo kadhaa huko njombe wilaya ya wanging'ombe kuelekea huko Ludewa Kuna mlima wanaita gangitololi asee ni balaa utatelemkia sehemu wanaita mkiu Kona ya kwenda lugalawa, nilipata na mke huko.
Ni kweli vimichepuko vinauma asee, kwanza sababu tunavigharamia sana kuliko hata mke.
Yani Kuna muda vinakupiga na kitu kizito mpaka unatamani kumuhadithia mkeo[emoji23]
Japo kibongo bongo kufungwa au kuachiwa huru inategemea na nguvu ya uchumi wako, uwe na mawakili wazoefu hata kama umefanya tukio unatoboa.
Na ndio maana wenzetu wamewekeza kwenye ushahidi wa kimaabara. Hii unapata majibu yasiokuwa na mashaka ( evidence without any doubt).
Sisi huku Bado...
Utahakikishia vipi mahakama kama ni kweli unachokisem umekiona na sio kutunga bila kuwa na ushahidi unaoshikika?
Unaweza kupewa tatizo la afya ya akili kuwa unasema mambo yanayofikilika.
Upige picha crime scene hapo sawa, uwe na kifaa chochote kilichotumika na hakikisha haukishiki maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.