Lissu anapitia kipindi kigumu sana katika maisha yake?so anahitaji sana faraja. Wale ni wenzake wa karibu wapambanaji wenzake wamepitia mengi pamoja,na kikubwa huwa anasimama nao sana vipindi vya makesi yao mahakamani na ktk issue nyingine, so iweje wao wamuache mwenyewe kisa kuogopa gharama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.