Recent content by fetteh

  1. F

    Nightmare ni nini?

    Mshana naomba tuwasiliane
  2. F

    Kuna familia zina laana ya asili

    Nafikiri swala kubwa la kujiuliza hiyo laana ni laana gani... Siku hizi hata watoa laana sijui hawapo au wamekufa yani hata havieleweki. Lakini kikubwa ninachoona hakuna asili inayoharibu mara nyingi naona ni uchawi unaoelekezwa kwenye asili. Muhimu ni kujua namna ya kusaidia wahanga. Unaweza...
  3. F

    Tuliowahi kutatua matatizo kwa wataalamu tukutane hapa, muhimu;bado naenda kanisani

    Sasa unaleta mada ya kuchanjwa halafu mtu atafute Chief, kama Chief wako ametoa msaada mzuri kwako si utoe ufafanuzi watu wapate suluhu.
  4. F

    Nisaidieni mawazo Wana JF

    Hakun kesi hapo ni kupoteza muda.hakuna ushaidi wowote
Back
Top Bottom