Habari wanajukwaa? Mwenzenu nina swali ambalo sielewi... Mwaka jana nimeomba NACTE kujiunga na course ya Diploma katika health Science (Medical laboratory technology). Nilichaguliwa chuo fulani kiko Kinondoni kinaitwa Mount Ukombozi kwamba nikasomee ORDINARY DIPLOMA IN MEDICAL LABORATORY...
Asante rafiki. But sometimes kuna vyuo vngne utaona kwenye list ya NACTE kimesajliwa ila mwisho wa siku ukihitimu unaambiwa huajiriwi kisa eti HAKITAMBULIKI mfano ni KAMPALA
Jamani mimi mwanajukwaa mwenzenu naomba kuuliza kuhusu chuo cha Paradigms college of health and Allied Sciences kilichoko Kimara Dar Es Salaam. Je kinatambulika na NACTE na vipi ukihitimu unatambuliwa hupati shida ya kuajiriwa? Kwa anayefahamu anisaidie. Asante
Dogo nina wasiwasi na Trend ya elimu yako hujakutana na changamoto. Please jipange usijerudi home huku ulishafika chuo kikuu. Form 6 is nothing to university. That is only a shortcut. Mtu aliyepitia diploma atakupita vizuri ukiendelea kuleta huko kujiamini kwako. Ushauri tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.