Poleni Na shughuli za kila siku!!! Msaada kwenye tuta wapendwa kama kuna Mtu ashawahi kufanya interview za utumishi wa mahakama au uelewa itakuwa ni vzuri akiachia katika huu uzi basic question za Hao bwana!! Nikipata utapata pia!!!
Nashukuru kwa majbu mazur ambayo umekuwa unayatoa Sorry kaka Lugoje! Kati ya course walizoztaja sijaiona Sociology but kuna community development ambayo n similar na sociology vp naweza kutuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.