me ilikuwa mtwara kwenda Dar, bahati nzuri nilisafiri na mtu mzoefu sasa chabo nililokuwa napiga we acha kila kitu naigilizia. Ila kahawa ilinimwagia chapachapa sababu ya mchecheto, mmmh.. ushamba acha tu
Si KCMC peke yake ndo imepandisha gharama za matibabu. Karibu hospitali zote za rufaa zikiwemo za serikali zimefanya hivyo kwa sababu zifuatazo;
1. Hospitali za rufaa hazina fungu lolote la nyongeza zaidi ya MSD, fedha za uchangiaji (Cost sharing), matumizi ya kawaida (OC) kwa ajili ya kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.