Huyu kijana hanakipaji kibisa cha uongozi. Sielewi aliomba au alilazimishwa kugombea, na kama wanakalenga watachagua mtu kama huyu basi itakuwa ni dhambi kubwa sana wameifanya hawa wanyarukolo.
MSHINO Hii kali sana, Jamaa amedhamilia kuwamaliza. Napata shida kuamini kama haya majaribio ya mauaji hufanyjika kwenye ardhi ya SA, inaonesha kunamapungufu makubwa sana kwenye ulinzi wa serikali ya Zuma.
Upo sahihi kwani wote tumeona Mwigulu badala ya kunadi sera za chama amewaleta watu kutuka Kahama na Igunda kujakutafuta huruma ya wanaKalenga. Naomba sana watu wakalenga wasidanganyike. Nani asiyejua hujuma za CCM kwenye uchaguzi? Tafakali chukua hatua
Kama siasa za CCM zimefikia kiwango hiki basi watanzania tumekwisha, huyu jamaa Mwigulu hatari sana kwa usalama wa taifa hili amesahamu bomu la Arusha. Da hatari sana
Hii hapa ni Bendera ya Uturuki, wote tunajua nchi ya uturuki inaondeshwa kiislamu hata mamufti wanalipwa na serikali yao. Ukiona kuna Nyota kwa haraka sana unaweza kujua chama kina mlengo gani. Kamwe hicho chama hakita fika mbali, sifahamu walikuwa na nia gani ya kuweka star kwenye bendera yao.
Tumekuelewa, naomba weka hapa bendera ya ACT. Baada ya hapo tutakueleza kwa nini hicho chama chenu kina sula ya kidini. Zinduka Mkuu, hakuna chama hapoooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.