Huyu kijana hanakipaji kibisa cha uongozi. Sielewi aliomba au alilazimishwa kugombea, na kama wanakalenga watachagua mtu kama huyu basi itakuwa ni dhambi kubwa sana wameifanya hawa wanyarukolo.
MSHINO Hii kali sana, Jamaa amedhamilia kuwamaliza. Napata shida kuamini kama haya majaribio ya mauaji hufanyjika kwenye ardhi ya SA, inaonesha kunamapungufu makubwa sana kwenye ulinzi wa serikali ya Zuma.
Upo sahihi kwani wote tumeona Mwigulu badala ya kunadi sera za chama amewaleta watu kutuka Kahama na Igunda kujakutafuta huruma ya wanaKalenga. Naomba sana watu wakalenga wasidanganyike. Nani asiyejua hujuma za CCM kwenye uchaguzi? Tafakali chukua hatua
Kama siasa za CCM zimefikia kiwango hiki basi watanzania tumekwisha, huyu jamaa Mwigulu hatari sana kwa usalama wa taifa hili amesahamu bomu la Arusha. Da hatari sana
Hii hapa ni Bendera ya Uturuki, wote tunajua nchi ya uturuki inaondeshwa kiislamu hata mamufti wanalipwa na serikali yao. Ukiona kuna Nyota kwa haraka sana unaweza kujua chama kina mlengo gani. Kamwe hicho chama hakita fika mbali, sifahamu walikuwa na nia gani ya kuweka star kwenye bendera yao.
Tumekuelewa, naomba weka hapa bendera ya ACT. Baada ya hapo tutakueleza kwa nini hicho chama chenu kina sula ya kidini. Zinduka Mkuu, hakuna chama hapoooo
Kama kweli hana diploma na vyeti alivyoeleza kwenye CV yake, wahusika wanatakiwa kumchukulia hatua. Huyu ni miongoni mwa mafisadi wa Elimu Tanzania. Jimboni kwake ni vumbi kwenda mbele na umaskini usiseme na miongoni mwa maeneo ambayo wananchi hawafahamu hata kuongea Kiswahili zaidi ya Kisukuma...
Je umemwelewa mleta thread hii? Kupinga vitendo vya ushoga ni jambo linalo mpendeza Mungu, wewe unakuja na hoja ya mijadala ya kishetani anyway unaouhuru wakuandika chochote.
Kwa ujumla kama kunakosa ambalo wanakalenga watafanya ni kumchagua huyu kijana kwa jina la CCM, Kijana mwenye anaishi nje ya nchi na hata matatizo ya wanaKalenga hayafahamu vizuri. Hawa CCM wanamatatizo sana najua wanajiandaa kuiba kula kwa vile hiyo ndiyo njia pekee kwao.
Kwanza nakupongeza kwa umakini wako Mkuu, umefanya auditing nzuri sana. Kwa ujumla hali hii haiwezi kukubalika kwani hakuna haki ambayo imetendeka hapa kwanini aliyepata POINT 45 awe na 0 na yule wa VI awe na IV.
Huu ni ukikwaji wa Katiba na kama tungepata waandishi wa habari wazuri wangeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.