Recent content by felmwaki

  1. F

    Kuku chotara

    Je vifaranga ni shilingi ngapi? wanapatikana wapi? Je kuna ushauri kuhusiana na ufugaji kwa wanaoanza? Poultry naomba msaada
  2. F

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Ninashukuru sana kwa majibu mazuri, kimo cha eneo langu ni futi tisa tu! Ninahitaji kufuga kuku kwaajili ya matumizi ya nyumbani zaidi, ikiwa ni pamoja na kuwarithisha watoto shughuli za ziada tofauti na masomo yao ya darasani. pia kuwajengea nmsingi wa ajira binafsi hapo baadaye. ningependa...
  3. F

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Salaam mimi natamani kufuga kuku kwa mfumo wa ndani lakini eneo langu ni dogo sana nimebakiwa na futi saba upana kwa futi 14 urefu, Je ninaweza kujenga mabanda madogo ya ghorofa kwa partition za upana wa futi 4, urefu futi 14 na kimo futi 2.5?
  4. F

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Salaam mimi natamani kufuga kuku kwa mfumo wa ndani lakini eneo langu ni dogo sana nimebakiwa na futi saba upana kwa futi 14 urefu, Je ninaweza kujenga mabanda madogo ya ghorofa kwa partition za upana wa futi 4, urefu futi 14 na kimo futi 2.5?
  5. F

    Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

    Ninatambua ni kwanini lizaboni unao ujasiri ni kwasababu hupendi kudadisi, ndo maana pia hutapenda kukosoa kwa hoja za kujenga: kwa muda mrefu wazungu wameweka vipimo hv vya metriki kwa makosa na wewe unakubali wanadai 1acre ni sawa 0.4047ambayo ni sawa na ekari 2.47 ktk hekta! hili ni kosa...
  6. F

    Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

    Nadhani kama Watanzania tunatakiwa kuwa na hekima katika kufikiri! Ni wakati wa kujenga nchi yetu na si kudharauliana kwa mapungufu madogo ya kitakwimu yanayojitokeza. kwa utashi wangu sahihi kabisa aliyemkosoa Msigwa pia amekosea kanuni; kama mwalimu wa kujitolea naomba kufundisha kwa njia ya...
Back
Top Bottom