Wanasema kuwa CCM imejipanga kumuwekea Lowasa pingamizi ni waongo wakubwa kwakua wao ni CCM basi wameshajua kuwa watashindwa ndiomana wanaanza kaleta maneno ya uzushi na uongo. Ahsante
Ukiangalia hayo mambo basi ujue CCM itaendelea kutawala daima milele, ishu ni kuitoa CCM na mfumo wake madarakani alafu mambo mengine baadae, na mgombea mwenye nguvu za kutosha ni Lowasa. Kubali au ukatae kama unataka kweli kuitoa CCM madarakani na mfumo wake basi lazima umkubali Lowasa. Kaa...
Hongera sana kiongozi we2 Dk slaa tunaomba usituangushe Watanzania tuliokupenda na kukuamini. Mwenyezi akuongoze katika kipindi hiki cha majaribu. Ameen
Kwahiyo cabinet yote ya UKAWA haina hizi taarifa isipokua wewe tu ndio unazo? Uongo mwingine bwana hata haufanani. Wewe kama huna cha kupost ni bora ukae kimya kuliko kuudanganya uma wa watanzania kwa kitu ambacho hakiwezekani. Kaa kimya..... Full stop...!!!!
Hahaha.... Wenyewe kwa wenyewe wameshaanza kuzozana. Kweli safari hii kazi ipo hapo ndani ya CCM. Mm yangu macho sina la kuongeza kuhusu hiyo ishu ya hicho kipengele. Thnx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.