Recent content by Felix King Zaman

  1. F

    Tanga

    Hahaa itabidi nikija ntembeee karibu na wewe Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Tanga

    Mimi mkristo... Jee naweza pata mtoto mzuri wa kurejea nae Kenya ama lazma niwe muislam?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    Tanga

    Thank you brother...Any other peace? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    Tanga

    Hahaha... Kwani wana nini mkuu. Niliambiwa ukitaka mke nenda Tanga. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    Tanga

    I would love to visit Tanga come December. Any tips/places I can visit/stay Thank you Sent using Jamii Forums mobile app
  6. F

    Rest In Peace Kizzo Gunz

    Marehemu alikuwa halali njaa.. Kama kastahimil gharama ya kidney transplant na dialysis since 2008, ina maana alikuwa na kwanja mrefu...Ila at the end dunia ni imara kuliko bin adam....RIP blood
  7. F

    Rest In Peace Kizzo Gunz

    Marehem alikuwa bataboy, mtoto wa kishua..Aliniacha shule A level alafu alikuwa na roho ua unabii batani.. ukitaka Red Label anakupa...Wadada vya mjini walimpenda sana sabab akiwa sehem lazma atapay bills...Sema watamlilia leo..mwaka ujao wanamsahau..Another one takes over..Ndo maisha ya...
  8. F

    Wasanii wala unga

    5. Felix King Zamani
  9. F

    Wasanii wala unga

    Felix king Zamani
  10. F

    Kitu gani special mabinti wa Tanga wanayo?

    Nipo harakati za kutafuta masters na PhD, baada ya hapo naoa Tanga...Maendeleo niachie Mimi..Mke kazi yake anitunze
  11. F

    Kurejea kwa JACKIE CLIFF

    Ikiwa kuna kitu kinasubiriwa kwa hamu sana ni JACKIE CLIFF kuachiliwa jela alikofungwa kule China. Sema atahit headlines Sana akirejea bongo alafu wengi tumejipanga kuenda kutafuta kick pale. Kwanza nishamfollow insta #HataMimiHapaNajiandaaNaProposal #CoupleYetuItatishaSanaTown
  12. F

    Nikki Mbishi fans special thread

    Siku zote real MC's hawawi na mafanikio makubwa kiuchumi. Hebu mlinganishe Future na mtu kama Royce da 59. Au hata akina Drek na mtu kama Nas. Nikki Mbishi is a hell of a talent. Na siku zote, lazima uwe smart upstairs ili uwaelewe watu kama Felix King, Zamani, Nikki, One, Sterio, Nash MC and...
  13. F

    Tanzania ya viwanda ni ndoto

    Wewe unaitafsiri vipi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. F

    Tanzania ya viwanda ni ndoto

    Nakusoma mkuu...Lakini you accept Tanzania ya Viwanda bado ni ndoto Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom