Hello,
Naitwa khadija TUNATOA HUDUMA za kuandika barua za maofisi, invoice, delivery, excel. Tunajua sio kil Mtu ana komput au ana uwezo Wa kutumia komputa, hivyo kila kitu na tunafanya through online sio lazima tuwe wote kwenye ofisi moja.
HUDUMA Ipo hivi unaandika kwenye karatasi yako na...
Habari..mm naomba niunganishwe na wafanyabiashara,viwanda au makampuni yanayotumia vitabu kwani najihusisha na Ku print na Ku bind Vitabu mbalimbali km invoice,delivery,receipt book,petty cash na vingine..tupo k.koo 0766 597 157
Hello naombeni nope we connection ya wanaohitaji kuprintiwa na kubindiw vitabu kwa ajili ya biashara,viwanda ,makampuni kama vile order book,invoice,delivery note,receipt...kwa bei poa kabisa..location Kariakoo simu 0766 597 157/0653 970 936
mm na deal na kutengenez na kuprint vitabu vya kumbukumbu kama proforma invoice,invoice,delivery note,cash sale,receipt kwa bei nafuu A4 7000 na A5 5000 tupo k.koo mtaa wa narung'ombe na likoma .mawasiliano 0766 597157 na 0653 970 936
Habari
Kwa jina naitwa Khadija ni muajiriwa katika kampuni iitwayo FEKAS GENERAL SUPPLY, ambayo inajihusisha na kusambaza bidhaa mbalimbali kama vile vifaa vya Shule na ofisini,vifaa vya Usafi,pamoja na huduma ya kuchapisha Vitabu na nyaraka mbalimbali za shuleni,ofisini,viwandani ,shuleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.