Namuona Dr. Slaa anafunguliwa milango ya Ikulu Oktoba na watu wa usalama wa Taifa wale wale waliotaka kumdhulu tena wakimufungulia kwa heshima kubwa.
Kwani UKAWA wamekwisha teua mgombea au Slaa ni wa Chadema?
Inawezekana ni walioamua hivyo wameona kinafaa. Lakini ukweli ni kwamba vitabu hivi vimeandikwa ukitazama kwa kwa undani ilikuwa kwa ajili ya kuuza magazeti hivyo hadithi inazunguushwa kiasi kwamba kwa shule itakuwa ni kuwasumbua na kupoteza muda wa wanafunzi. Hadithi inahusisha vizazi 3. Mie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.