Recent content by Feeling Haillee

  1. F

    Wauaji wilayani Kibiti wadaiwa kutuma ujumbe kuwa wataendelea kuwauawa Polisi kwa sababu huwadhulum

    Na ukiulza hizo dhuluma wanazodai, usishangae ikawa ni upuuzi mtupu. Kwani nchi yoote hii askari wako kibiti tuu??.
  2. F

    Wauaji wilayani Kibiti wadaiwa kutuma ujumbe kuwa wataendelea kuwauawa Polisi kwa sababu huwadhulum

    Pohamba, hata km ukakabidhiwa SMG mikononi na miguuni, bado tuu huwezi kua na macho mbele na nyuma
  3. F

    Wauaji wilayani Kibiti wadaiwa kutuma ujumbe kuwa wataendelea kuwauawa Polisi kwa sababu huwadhulum

    Hebu toa na mifano ya Mali walizonyang'anya za hao watu maskini huku ukianisha hao maskini.
  4. F

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Huenda hawa wauaji wanatumia nguvu za Giza. Hii c kawaida
  5. F

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Siyo akili finyu, ila vitu vingine vinaleta maudhi sn
  6. F

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Leo unasema Siro ana kazi ngumu, kesho itakua Watz wote tutakua na kazi ngumu.
  7. F

    Mwigulu Nchemba aomba radhi kufuatia Polisi kutumia nguvu kubwa kupambana na watu wenye ulemavu

    Hv unajua kwan Dr akiua hua hashtakiwi au unaropoka tu??.
  8. F

    Mwigulu Nchemba aomba radhi kufuatia Polisi kutumia nguvu kubwa kupambana na watu wenye ulemavu

    Si walemavu tuu, hata baba take hy IGP anapaswa kufuata sheria pia kwa kila aliye RAIA mwema.
  9. F

    Mwigulu Nchemba aomba radhi kufuatia Polisi kutumia nguvu kubwa kupambana na watu wenye ulemavu

    Mi huaga najua kila kitu ni utaratibu. Police hadi wafikie kukupiga hua kuna taratbu zao. Kwanza hua wanawaomba mtawanyike kwa AMANI, hii hua wanarudia Mara 3. Ukikaidi Amri hy ndipo kikosi cha virungu husonga mbele kukabiliana na yule aliye mbele yk. Na kwa wakati huo kila aliye mbele yk hua ni...
  10. F

    Mwigulu Nchemba aomba radhi kufuatia Polisi kutumia nguvu kubwa kupambana na watu wenye ulemavu

    Kuomba radhi nako ni laaana???, hii sijawahi sikia ndo kwanza kwako.
  11. F

    Mwigulu Nchemba aomba radhi kufuatia Polisi kutumia nguvu kubwa kupambana na watu wenye ulemavu

    Hujaielewa hiyo post au Huelewi maana ya kuomba radhi??.
  12. F

    Ukweli ni huu: Wasichana na wanaume wanatakiwa kushtuka

    Mmmmh, tayari Niko 40, but nna mtoto mmoja, HV nliwaza kuongeza. Uzi wako umenidiscourage sn.....
Back
Top Bottom