Ukiusikiliza vizuri wimbo wa mwimbaji wa nyimbo za dini, Christiana Shushu "Kwa Neema Tu" utaelewa na kuamini Mungu yupo jana, leo, kesho na ata milele.
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ya Tanzania, Bw Gerson Msigwa ametoa taarifa kwa Waandishi wa habari na umma wa watanzania leo tarehe...
Sasa kipindi kinaboa sana, shida ni watu wanaoendesha hawana mvuto matangazo ni kawaida...nimeacha kusikikiza siku sana.....Likuda sijui simuelewagi kabisa.
Quinine
Kuna ofisi ya mkuu wa wilaya na kuna ofisi ya mkurugenzi wa wilaya, kuna ofisi ya meya wa halmashauri ambayo ipo ndani ya DED na madiwani na wabunge wanahusika hapo.
Makonda sio shida yake kwani yaye ataweza kuingiliana na UKAWa, huruma namuone DED.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.