Mkuu kama Ukimwi nimeshapima, na je kuna uhusiano gani wa ugonjwa wa Ukimwi na hali ninayoizungumzia? Na pia sio suala lilojitokeza hvi karibuni ni jambo la mda mrefu sasa linamiaka tokea nilipoanza chuo
Hapana mkuu mimi sina madeni ambayo yanayonifanya nikakosa amani nina madeni ambayo yanalipika, ambavyo wwe unahisi mtu anaweza akafanya jambo gani likampelekea katika hali hiyo
Yes mkuu hii ni moja ya hali pia huwa inayotokea, yaani ukisema ujisikilize unavyoongea sauti inakuwa haipo strong inayumba yumba, maneno ya mbele unaweka nyuma na ya nyuma unaweka mbele
Wakuu Habari….
Nimekua na tatizo linalonisumbua kwa mda mrefu, nakua na hali ya kuwa na wasiwasi na kuogopa, inawezekana hata mtu akifungua mlango wa chumbani basi najikuta mapigo ya moyo yanaenda mbio na pia nakua na hali yakujawa na pumzi, hii pia inaniathiri hata nikiwa naongea mbele za watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.