Habari wana jukwaa, nimefurahishwa na taarifa za msanii wangu pendwa ndugu Mh. JOSEPH HAULE maarufu kama Prof Jay.
Nimesikia tetesi kuwa anasumbuliwa na Figo, nikiwa kama kijana mpenda mapinduzi na mpenda maendeleo na pia mpenzi wa muziki niko tayari kumsaidia moja kati ya figo yangu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.