Recent content by Faustin Mtui

  1. F

    Miembe ya kisasa..

    Je miembe hii hupatikana wapi kule Mwanza?
  2. F

    "Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

    Je huyo mume wa jike huyo mbona hajahojiwa? Huenda ana jazba na ana mambo mengi ya kusema
  3. F

    Picha: Wengi wajitokeza kuuaga mwili wa kamanda Liberatus Barlow leo Nyamagana

    Wakilima mmefanya kazi nzuri kwa mchango wenu kwa marehemu Barlow
  4. F

    Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

    Njia ya kukomesha vurugu hizi ni hii. Kuwe na ofisi ya msajili wa umoja wa dini mbali mbali kwa mfano umoja wa Wakristo, umoja wa Waislamu, umoja wa Wabudha, umoja wa Wapagani nakadhalika. Kila umoja uwe na kiongozi wake ambaye ndiye atakayesajili umoja wake serekalini. Viongozi wa umoja wawe...
Back
Top Bottom