Hahahaaa asante maana naona wameelemea upande mmoja tu,ina maana nyie wanaume hamjaumbiwa woga?afadhal yenu nyie mnakua na cm zenu na hela zenu ktk mifuko ya suruali tu,je sisi wanawake tunakua tumebeba hadi pochi za kike lkn mnatuamini,huo ujasiri wenu vipi?
Ama kweli kua kua uyaone,shkamoo wanaume wote,sasa kama mtu ni mnene wa asili afanyeje jmn?huyo dada nae cjui kwa nn ang'ang'anie acpopendwa?atembee mbele mungu atampa wa type yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.