Recent content by Farolito

  1. Farolito

    Stephen Wasira: Walioanza harakati za Urais 2030 wamezungumza na Mungu kwamba watakuwepo?

    Mbona wanasaini mikataba ya miaka 100 watakuwepo? au wanatujaribu watanzania
  2. Farolito

    Akamatwa kwa kujifanya bubu na kuchangiwa Milioni 1.8

    Mkuu wa wilaya katapeliwa na ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wilaya
  3. Farolito

    Akamatwa kwa kujifanya bubu na kuchangiwa Milioni 1.8

    Litakua lilijisahau likaanza kufokea wahudumu wa Gesti, au usiku lilikuwa linabonga na simu kwa sauti😃
  4. Farolito

    Dkt. Tulia: Tulipata maarifa kutoka kwa Lukuvi, Usipotaka kuwa mwizi angekufunza

    Sasa mbona wezi ndio wengi hata msibani wameenda?
  5. Farolito

    Pikipiki zenye Kelele na Taa kali zakamatwa Arusha

    🤣🤣 Hawa jamaa ni hamnazo, yaani ukifikishwa salama unashukuru Mungu, halafu sio usafiri wa kuzoea utazikwa mapema sana maana yeye kulichomekea Semitrela haoni shida
  6. Farolito

    Pikipiki zenye Kelele na Taa kali zakamatwa Arusha

    🤣🤣Yaani ukishaona hivyo kimbia hatari hio, kaa mbali, anaweza kukulaza miezi mingi pale MOI huyo
  7. Farolito

    Pikipiki zenye Kelele na Taa kali zakamatwa Arusha

    Hata zenye mziki zikamatwe tu maana saa 11 alfajiri ni masingeli barabarani hata hatujaamka
  8. Farolito

    Eti "Nimevipiga vita vilivyo vizuri". William Lukuvi kapigana vita gani Vizuri? Nisaidieni

    Vita ya kuwafitini watanzania na kuwapora haki zao
  9. Farolito

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Poa kaka, unaweza kuongeza ubunifu zaidi mfano ilete mpaka jina la mwenye namba kama kuna umuhimu japo hata hapo ilipo ni suluhu tosha sana
  10. Farolito

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Asante, suluhu imeshapatikana, nimeweka mrejesho pale juu
  11. Farolito

    Hivi hakuna namna rahisi ya kujua Code ya mtandao wa simu kwa haraka?

    Mkuu umetisha sana, nashukuru sasa hilo jambo imekua rahisi sana, nimejaribu karibu code zote umenipa majibu tena kwa haraka sana,ndani ya sekunde mbili tu. Umeleta suluhisho kwa wakati muafaka sana, Kongole kwako👏
  12. Farolito

    40 sites to download books for free

    Ipi nitapata vitabu vya dini kati ya hizo?
Back
Top Bottom