Recent content by FARAJI ABUUU

  1. FARAJI ABUUU

    Uwajibikaji ndiyo afya ya Utawala bora

    Tukizungumzia uwajibikaji hatuwezi kuiacha serikali na mashirika ya umma yaliyobeba majukumu ya kuwahudumia watu ukiangalia wakulima,wafugaji,wafanyabiashara,wanafunzi n.k wanaingalaia serikali na mashirika ya umma vipi wanawajibika na kusaidia kukidhi mahitajio ya matarajio yao. pamoja na...
  2. FARAJI ABUUU

    Namna nzuri ya kuandaa watu watakaosimamia misingi ya Utawala Bora

    Ukiangalia katika jamii zetu hata kwa baadhi ya wanaharakati wa mambo mbalimbali wanapotaka kufanya jambo ambalo wanaona lina tija kwao au kwa jamii zao wanataka wafanikiwe kwa muda mfupi bila kupima uzito wa jambo lenyewe na namna nzuri ya kulielekea jambo hilo. Kawaida unapotaka kurekebisha...
  3. FARAJI ABUUU

    SoC01 Afya iwe kipaumbele cha kila mmoja wetu

    Ili tuweze kutengemaa katika nyanja mbalimbali za kijamii,uchumi,siasa elimu,kilimo, biashara,utawala bora inabidi tuangalie kile ambacho ndio msingi wa kutengemaa. kwa maana hiyo ni lazima kuchukua kila sababu za kulinda na kutetea msingi huo. Msingi huo ni afya, pale afya inapoyumba kwa mtu...
Back
Top Bottom