habari zenu? naombeni ushauri ndugu zangu, nmeolewa nina miezi mi5..kabla sijakutana na mume wangu nilikuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa mda wa miak mi2..ndo alikuwamwanaume wangu wa kwanza...nilikutana nae nikiwa form six,
Kipindi hiko alikuwa anafanya kazi hapa dar..baada kuishi miaka mi2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.