Habari Chief, nina modem Huawei E303h-1 ya Airtel ambayo wakati nilipokua na update firmware computer ilizima na baada ya hapo haipigi kazi tena. Nikiiweka kwenye computer inakua hivi:
Na kila nikijaribu ku update firmware tena, inakua hivi:
Na hapa wala haionekani na wala hai install...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.