Ilishanitokea mara nyingi, japo sikujua sababu hasa. Nilijua roho yangu huitikia vizuri sana nyimbo zenye jumbe za Neno la Mungu.
Hata kama nilikuwa nikitembea njiani huku nafsini najisika kukaukiwa au hali ya utupu, nikipita sehemu wanakopiga wimbo mzuri unaokubaliana na Maandiko Matakatifu...
Ikiwa ni siku moja tu tokea niilete mada husika hapa jukwaani, tayari nimeshajua pa kuanzia kuhusiana na jambo nililoshirikisha jana. Michango ya wadau imenipa picha ya kinachopaswa kufanyika.
Nitumie wasaa huu kuwashukuru wote waliojitoa kwa ushauri na mawazo mbalimbali. Hakika, michango...
Ninamaanisha dege ndogo ya kawaida (aeroplane) yenye uwezo wa kubeba abiria watatu na helikopta yenye uwezo wa kubeba abiria watatu.
Naomba kufahamishwa:
A. Bei yake ikijumuisha gharama za ununuzi, usafirishaji na usajili
B. Makadirio ya gharama za kuihudumuia kwa mwezi. Wastani wa safari...
Hapa ninazungumzia Neno la Mungu la kwenye Biblia.
Wanasaikolojia wanakiri kuwa maneno yana uwezo mkubwa sana wa kumwathiri mtu. Ikiwa maneno ya kawaida yanaweza kusababisha mabadiliko, ni kwa kiwango gani Neno la Mungu linaweza kuleta matokeo yaliyoahidiwa na Mungu Mwenyewe? Kama unataka...
Nilikuwa High School katika moja ya shule za Sekondari mkoani Kilimanjaro. Tukiwa shuleni, tulikuwa na kikundi chetu cha maombi. Ilikuwa ni kawaida yetu kuamka kila siku saa kumi na moja Asubuhi kwa ajili ya maombi. Tuliombea nchi, shule yetu, wanafunzi wenzetu, familia zetu, masomo yetu, n.k...
Shida haina adabu!
Huo ni usemi ambao nilizoea kuusikia kwa wakubwa nilipokuwa mdogo. Lakini baada ya kuwa mtu mzima, nimebaini kuwa japo shida si nzuri, lakini wakati mwingine huweza kukusababisha kukutana na mambo mazuri.
Miaka mingi imeshapita, lakini ningali nikikumbuka jinsi changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.