Mwambie huyo Dada ukweli unavyozidi kumpotezea muda ndo utamuumiza zaidi na nyie ndo mnasababisha wadada wanakuwa wanachukia wanaume akitokea anayempenda kweli anakuwa amuamini na hawezi penda tena kama zamani..pls mwambie huyo Dada sasa ataumia tu now ila itamsaidia kuliko kuendeleaa kupoteza...
Yeap ni kweli ila inauma mnoo kapoteza muda mwingi na watu wengine walikuwa wanataka kumuo kabisa akawakataa akawa mwaminifu kwa huyo kaka na ndo hivyo kamwacha ..duu so sad Mungu atusaidie wadada changamoto ni nyingi za mahusiano
Hapana hizo ni fikra potovu watu walizonazo vichwani mwao na kupenda kugeneralize tabia za watu kutokana na kabila japokuwa kila mtu yuko tofauti na ameumbwa tofauti pia
Una uhakiki wana tabia hiyo au ndo hayo maneno ya kusikiliza watu wanavyosema ..usipende kugeneralize tabia za watu kila mtu yuko tofauti..na pia usipende kuendekeza maneno ya kuchafulia kabila la mtu na huna uhakika nayo ...
Hizo ni fikra potovu watu walizojijengea na kupenda kugeneralize tabia ya mtu kutokana na kabila lake kila mtu ameumbwa tofauti na malezi tofauti..na pia mwanaume akiwa na msimamo inasaidia cse huyo mke unaenda kushi naye na wewe ndo unamjua tabia zake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.