Recent content by Fahami Matsawili

  1. Fahami Matsawili

    Biashara ndogo ndogo zina nafasi kubwa ya kuzalisha mamilioni ya Ajira

    We must decriminalise micro and small businesses that have the power of creating jobs for millions of ordinary people, First: let's formalize the informal sector to open up more opportunities.
  2. Fahami Matsawili

    Changamoto ya Ajira katika nchi zinazoendelea

    Sijapotea Chief nipo ila inawezekana style yangu ya siasa imebadirika kutoka kwenye siasa za harakati na kuwa siasa za Uongozi.
  3. Fahami Matsawili

    Changamoto ya Ajira katika nchi zinazoendelea

    Sawa pamoja na Uchumi kukua hapa tunahitaji inclusiveness ya Wananchi kwenye Uchumi, ndiyo umasikini utapungua na Uchumi kukua automatically
  4. Fahami Matsawili

    Changamoto ya Ajira katika nchi zinazoendelea

    Harakati ziendelee Comred
  5. Fahami Matsawili

    Mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita kuifungua mikoa ya Pembezoni Kiuchumi

    Mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita kuifungua mikoa ya Pembezoni Kiuchumi. Mikoa ya pembezoni ina geography nzuri ya kibiashara, fursa nzuri ya kuvutia uwekezaji hasa hasa Kwa Viwanda vya Kilimo (agricultural industry) Kwa sababu Wananchi wa Maeneo haya wanafanya manunuzi ya bidhaa muhimu na...
  6. Fahami Matsawili

    Mkakati wa kukuza uchumi na kuondoa umaskini au Mkakati wa kuondoa umaskini na kukuza uchumi; Bottom-up economics model au Trickle-down economics

    Kwa sasa Afrika inaagiza Chakula kutoka nje ya bara la Afrika Chenye thamani ya USD 35 bilioni kwa mwaka, na kufikia Mwaka 2025 Afrika itakuwa inaagiza nje chakula cha thamani ya USD 110 bilioni. Tanzania ndani ya miaka sita, 2014-2020 tumeagiza nje ya nchi bidhaa za kilimo zenye thamani ya...
  7. Fahami Matsawili

    Changamoto ya Ajira katika nchi zinazoendelea

    Suala la Ajira ni cross culting issuers katika nchi zinazoendelea Kwa sababu Uchumi katika nchi hizi umeshikiliwa na watu wachache siyo Jumuishi wala shirikishi. (Inclusive economy) matokeo yake Uchumi huu umeshindwa kuzalisha Ajira kama ilivyotegemewa na Sayansi ya kuwa (Jobs are created by...
  8. Fahami Matsawili

    Tunazo sababu nyingi kwanini tunakopa kama Nchi

    Kuifuta kabisa haiwezekani, serikali zote duniani hata Marekani na China zinaendeshwa kwa kodi, ila kodi rafiki ndiyo maana serikali inaamua kukopa na kuweka kodi za kawaida au rafiki
  9. Fahami Matsawili

    Tunazo sababu nyingi kwanini tunakopa kama Nchi

    Hapana sijageuza maneno Comrade hayo maneno yapo wima acha tuoneshane makali kwanza haaaa haaa aliwahi kusema Dr shika
  10. Fahami Matsawili

    Tunazo sababu nyingi kwanini tunakopa kama Nchi

    Umeongea Vizuri Sana Comrade, Ushauri mzuri ubarikiwe Sana, Tanzania ni yetu
  11. Fahami Matsawili

    Tunazo sababu nyingi kwanini tunakopa kama Nchi

    Haaaa haaa sawa wewe mpigania nchi Kwani kipindi kilichopita tulipinga mikopo???
  12. Fahami Matsawili

    Tunazo sababu nyingi kwanini tunakopa kama Nchi

    Soma mara ya pili utaelewa tu ndugu yangu.
Back
Top Bottom