Hosipitali ya Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC), imekumbwa na tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha, yanayo ongozwa na Mkurugenzi mtendaji Dr. Gileard Massenga na Mkurugenzi wa Fedha Mrs Mungure. Kupitia urafiki wa karibu na Askofu mkuu wa KKKT Dr Alex Malasusa aliyepita na...
Kukusaidia Rodrick, udahili wa Wanafunzi Chuoni hupokelewa baada ya toleo na idadi husika ya wanafunzi wakithibitisha ufadhili wao (mdau mmoja ni wizara ya Afya)
Kila mwaka Ufadhili umekuwa chini ya Global funds na wizara kupitia jitihada zake kuwaombea wanafunzi madaktari huko.
Mwaka Juzi...
Kwa madaktari tunaosoma Masters mbalimbali hapa KCMC na kulipiwa ada na serikali tumegawanyika katika makundi mawili.
1.Global Fund (hawa wanalipiwa kila kitu ikiwemo ada,research,malazi na chakula)
2.Basket fund( hawa wanalipiwa ada na research tu)
Mkataba wa kusomeshwa husainiwa baina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.