Hivi nyie Kiingereza mlijifunzia wapi? Maana ya neno 'before' siyo 'katika' kwa Kiswahili. "Before" ni "mbele ya" meaning "in the presence of" au "in the witness of"
Framers wa Constitution yetu walilenga kusema kwamba 'mbunge atapishwa ' bungeni' (in session) and therefore, 'mbele ya Bunge...
Uchambuzi wako ni very narrow-minded. Umeanza kwa kusema upinzani ilikuwa na nguvu sana kwenye uchaguzi kiasi cha kukifanya Chama Tawala kihitaji goli la mkono! Lakini hujaeleza ni kwa nini kama CCM ilikuwa imejiimarisha kwa miaka 4 ilihitaji mbinu za goli la mkono.
Hujaeleza pia kwa nini...
Yaani kwa kutokujua vzr Kiingereza, hata mkitajwa kwa ujinga mnadhani mmesifiwa!
Rudy Giuliani hapo katolea mfano kwa kumaanisha: hata nchi inayoendesha uchaguzi wa kijinga kama Tanzania, wanasheria ya kuweka wasimamizi wa kura zinazotumwa kwa njia ya Posta.....sasa jiulize, kwani Tanzania tuna...
Pascal unahangaika na Dunia isiyo saizi yako. Unapoteza muda wako labda na waswahili wenzako hapa.
Kama New York Times ni gazeti la 3 kwa ukubwa duniani maana yake linasomwa na linaaminiwa na watu wengi zaidi duniani. Sasa unapojitutumua na wewe hapa na vikaragosi gazeti vyenu vya hapa, tena...
Sasa mbona unatapatapa. Mara jurisdiction mara mahakama ilishapiteza credibility. Hivi Mahakama za Tanzania zina credibility? Je, imezifanya ziaxhe kazi yake?
Na unaelewa kweli maana ya jurisdiction wewe? Hii ni ICC yaani International Criminal Court. Wana prosecute crime against humanity...
Mfano wa Maprofeseria rubbish wa nchi hii.
Haiwezi kuwa na halali asilimia 85 na haramu asilimia 15 halafu iitwe halali!
Waache kujificha. Wameonesha ujinga wao kwa kiwangoncha PhD na Dunia nzima imeona. Sasa wainywe hiyo aibu, hata kama mishipa yao ya aibu ilishakufa.
Pumbavu kabisa.
Jamani kama kweli kuna moto wa Jehanam, kama maandiko yasemavyo, huyu PolePole ajitahidi kukwepa asiishie huko, maana kajamaa haka kaongo hata shetani hakafikii...
Hii ni typical African/Tanzanian mindeset. Eti cerisible opposition leader, utawapata wapi kama hawapitii hii mitihani? Kuna duka wapi linauza hao ready made credible leaders ambao wewe utakuwa tayari kujitoa kwa ajili yao?
Eti to risk your life...what life? Do you have a life or your berely...
Tunajua hicho ni moja ya hisia zenu za kimakosa, kama ambavyo mlidhani Lissu hatarudi akarudi na sasa CCM inahenyeshwa.
Usiende mbali. Wiki ijayo tukutane uwanjani halafu uone watakavyokuwa wamewaongezea wananchi hamu zaidi ya kumwona na kumsikiliza.
CCM calculations za kisiasa zero. Nyie siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.