Utabiri: CHADEMA kushikana mashati na kujuta baada ya Lissu kupewa ubalozi na kukubali

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,589
4,599
Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu, Rais Magufuli aliahidi kumpa Tundu Lissu cheo serikalini kama akishinda.

Binafsi naamini Rais Magufuli atatekeleza ahadi hiyo kwa Mhe. Lissu. Naamini Lissu hatoweza kukataa nafasi hiyo impite kwa kuwa anajua watanzania walimchagua Rais Magufuli kihalali kabisa ndio maana alipotoa wito wa maandamano watanzania walimpuuza hivyo atakubaliana na kila kitu na kukubali kuitumikia nchi yake kama akiteuliwa.

Kwa mfano, siku za karibuni kumekuwa na maneno mitandaoni juu ya nia ya Lissu kuhutubia bunge la Ulaya lakini ameonekana kupinga hilo suala na hii inaonyesha namna gani Lissu anavyojiweka karibu na kukubaliana na serikali. Pia, suala lake la kumuomba Rais Magufuli kutaka maridhiano na wapinzani wake inaonekana pia hajakubaliana na maamuzi ya chama chake juu ya kutochagua viti maalumu .

Uamuzi pekee alionao Lissu kwa sasa ni kukubaliana na serikali ili ajiweke karibu na ahadi ya Mhe. Rais kwa sababu haamini tena chama chake wala viongozi wake wana nia gani kwa mustakabli wa uongozi wa chama na nchi yetu.

Kama Lissu akikubali uteuzi hakika kutakuwa na majuto makubwa ndani ya CHADEMA na watapitia kipindi kigumu katika historia ya chama hicho toka kianzishwe.
 
Hizi akili ni kuvukia barabara tu!Huwezi ukawa na familia halafu ukaandika ujinga kiasi hiki!Huo muda wanao watoto wanaonuka maziwa!
 
Wenzako juzi walizua kuwa Tume ya uchaguzi ilipewa majina ya viti maalum. Ww leo unakuja na futuhi nyingine!
Waziri mkuu anajiteua mwenyewe, uliowahi kuona wapi kituko kingine kama hiki zaidi ya Tanzania?
 
Hivi mkuu unamjua Lissu au wamuonaje kaka ,hachana na habari hizo, Kama chadema wakiongwa wote tz lissu wennda akawa wa mwisho na gharama yake sio chini tirion 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom