Recent content by faby_mollel

  1. faby_mollel

    Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

    Kwa Msaada... Kilimo cha nyanya kina changamoto nyingi katika kila hatua ya makuzi yake. Nyanya inapesa nyingi lkn kwa ulimaji wa heka moja na kuendelea ndiyo utaona faida ya nyanya. Kwa screenHouse kama hiyo return yake ni ya mda mrefu almost 5 yrs ndo irudishe investment cost. Kama una...
  2. faby_mollel

    Wizara ya Kilimo tusaidieni. Tuna tatizo jingine kubwa wakulima wa mahindi

    Hiyo ni Leaf Rust.. dawa Evito T inaondoa.
  3. faby_mollel

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Keep it up, pambana mwanzo mwisho. Mbona umetumia gharama kubwa ivo...?
  4. faby_mollel

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Tunda linakua na shape mbaya kwasababu kuna virutubisho linakosa mwanzon mwa ukuaji wake na si sababu ya mbegu. Pia tikiti linapenda joto ili linenepe na kuiva haraka lkn ukiwa unamwagilia vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  5. faby_mollel

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Sukari ni nzuri, pia jaribu kutumia Juliana F1 nayo inamatokeo mazuri Sent using Jamii Forums mobile app
  6. faby_mollel

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Mche mmoja unaweza ukatoa matunda mengi tu kuanzia 2 nakuendelea, lkn sio lazima ukate mbele lkn kitaalamu wanashauri ivyo ili upate matunda machache mwa mmea yenye ukubwa mzuri na muonekano bora kwasababu unapokata mmea ukiwa na matunda ma3 au 2 utasaidia matunda hayo mupata virutubisho kwa...
  7. faby_mollel

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Same here, lkn ukitumia miti michumo inaongezeka Sent using Jamii Forums mobile app
  8. faby_mollel

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Kanintangaze ni hatari sana, ila ukipiga dawa from the begin inasaidia kumthibiti Sent using Jamii Forums mobile app
  9. faby_mollel

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Okay, Sent using Jamii Forums mobile app
  10. faby_mollel

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Uwa na kilo 45-50
  11. faby_mollel

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Yaah, kilimo bila timing, na utunzaji mzuri wa bustan yako utakula za uso
  12. faby_mollel

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Asila ni mbegu nzuri sana.. Je we unaiekea miti?
Back
Top Bottom