Mtu anayetaka kwenda ikulu na Yuko tayari kutumia Pesa kununua kura aingie ikulu Ni wakukwepwa kama ukoma hafai Hilo Ni la kweli kwa baadhi ya wagombea
Hatutaki Porojo tunataka rais alie imara na anayeweza kukemea ufisadi na rushwa sio ushabiki tu au hela alizo nazo mgombea tunataka kiongozi bora na Mwadilifu sio kuongea ongea tu👆
Hatutaki barabara ila tunataka raisi atakayeweza kuukemea ufisadi na rushwa pamoja msimamo katika utekelezaji majukumu na mfuatiliaji kwa kila hatua inayoendelea katika Nchi yetu mengine Ni porojo
Ushabiki Mimi binafsi siuhitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.