Tupo wengi maisha magumu ,hakuna riziki,hakuna mtaji,vitu vya kufanya vipi shida mtaji nadhani nitakua nimejaribu kumjibia pia ,maana tupo wengi,mawazo tunayonyakufanya mambo makubwa ila hakuna wa kumpelekea au pa kuyapeleka
Wakati wewe unaendelea kujiuliza sisi tunaendelea kushinda,nilisema Sasa sita tunaanza hapo tungeweka 1m Sasa hivi tungekua na 6m ,tungeweka 100k Sasa hivi tungekua na laki sita na Kila mtu angepata chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.