Heading inasema hivyo "dogo aliacha chuo afanye biashara ya forex! Kwa ataesoma juu juu ataona anguko la dogo ni kutokana na forex wakati hata kulima pia alishindwa au angelima na bado angeangukia pua kwenye mavuno.
Kwenye andiko lako sijaona sehemu umesema huyo dogo alifanya biashara ya online forex trading maana hata mtaji hakuwanao aliishia kufanya vibarua na saidia fundi alafu unataka Kuja kupondea kitu ambacho kina exist toka mid 1990's sababu ya maendeleo ya technology na internet. Ungempa mtaji hata...
Jumla ya 15,000 unatumiwa kwenye mobile number yako uliyoijaza siku hiyo hiyo, maana kwa siku wanakuwa na task kama 24, Kila task 1000, kwahiyo ukifikisha 10 unatumiwa 10k na mwanzo ukijisajili Wana kutumia 5000, sasa hapo ndo mwenye tamaa anavaba anaweka hela yake
Hao jamaa toka mwaka Jana mpaka sasa nishapita na hela zao nyingi za trial, wakinipa 10,000 la commission ya siku hiyo na kwenye group Lao natoka, wako sana Instagram na WhatsApp, ukipatana nao huko wanakupeleka telegram, ukiwa na tamaa unalizwa.
Serikali inafuatilia gari lenye makosa ya kikodi, kwanini msimfuate mpaka anapopaki mtu mkaipiga pin gari mkaita tow truck (breakdown) mkaivuta gari mpaka ofisini kwenu mwenye gari ataamua mwenyewe kujakumaliza msala wake au gari muipige mnada, kuliko kumsimamisha mtu barabarani na kumtaka...
Kivuli kinafanana na kikaragosi cha Pinocchio, Pinocchio pua yake ilikuwa inarefuka kwenda mbele Kila akisema uongo,kwahiyo huyo mtoa hutuba hapo anadanganya.
Kivuli kinafanana na kikaragosi cha Pinocchio, Pinocchio pua yake ilikuwa inarefuka kwenda mbele Kila akisema uongo, kwahiyo huyo mtoa...
Spanganati ni potassium permanganate, nilikuwa naitumia kufanyia fumigation ukiichanganya na formalin unapata formaldehyde gas moshi wake bomu la machozi nanusu.
Kuna mwamba mmoja mtu wa vyombo walijenga kanisa la mabati mtaani kwao, ikawa Kila akirudi usiku toka kupiga vyombo akifika pale maeneo ya lile kanisa anasikia "Amen Amen" baada ya kama wiki watu wanaamka wanakuta kanisa limebomolewa, kuuliza ndo jamaa anasema hawa jamaa wakanisa wabishi Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.