Mjue boomslang, Nyoka hatari sana wa kijani

Mjue boomslang, Nyoka hatari sana wa kijani

Wiki iliyopita kwa mara ya kwanza niigata na nyoka nikiwa nyumbani ... nyoka mdogomweusi hivi tumbo jeupe ...yule mjinga nilimuua baada ya kunigonga ila ana sumu kali sna nilienda hospital ila hawakua na ant venom usiku ule hadi kufika asubuhi misuli ya mwili mzima ilikua inauma huku guu limevimba na kuuma haswa ..nilhama hospital hadi mloganzila kesho yake ndo kupata ant venom kwa 300k ila God iz good sijapona vizuri ila naendelea vema ..nimetangaza vita na nyoka popote ntakapomuona nyoka NAUA
Pole sana ndugu
 
Koboko anajificha sana. Sasa ikitokea akajua umemuona basi anaanza vita. Lakini yeye anatambua uwepo wa adui hata kilometer 2 kabla hujamfikia.... Cobra huyo swila yeye anajihami kwa ukubwa wake, swila ni mkubwa mara tatu ya koboko na ana silaha ya mate. Hao nyoka nimeua sana.
Cobra mara Tatu ya koboko labda king cobra wa aisia, koboko mkubwa anafika 14ft wakati black necked spitting cobra(swila) mkubwa ni 7ft.
 
Mapondo Mapoka ongea yote kuhusu koboko lakini huwezi kunishawishi lolote kwamba koboko mpole labda wa huko kwenu..huyu mwamba hapana aisee..
nliwahi kushuhudia timbwili lake hata mm nilinusuruka, sina hamu nayo..
ni nyoka mwenye akili kuliko nyoka wake..ni mpole kama hamjaonana naye macho kwa macho!
Ni HOSPITALI GANI HYO AMBAYO HAPA TANZANIA INA DAWA LA KUTIBU MADHARA YA SUMU ZA KOBOKO?
Labda Kwa mwamposa [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
[emoji23]
1747586251323.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wiki iliyopita kwa mara ya kwanza niigata na nyoka nikiwa nyumbani ... nyoka mdogomweusi hivi tumbo jeupe ...yule mjinga nilimuua baada ya kunigonga ila ana sumu kali sna nilienda hospital ila hawakua na ant venom usiku ule hadi kufika asubuhi misuli ya mwili mzima ilikua inauma huku guu limevimba na kuuma haswa ..nilhama hospital hadi mloganzila kesho yake ndo kupata ant venom kwa 300k ila God iz good sijapona vizuri ila naendelea vema ..nimetangaza vita na nyoka popote ntakapomuona nyoka NAUA
Daaah pole mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vp ulimkanyaga?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Huyo ni hatari ila hajamfikia Colin Diep
Ni huyu?
images.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha zamani huyo black mamba nilimuona wakati nachunga ng'ombe nikaanza kumkimbiza akawa anasimama anainua kichwa chake.kutokana na kuangalia sana movies zinazohusu wanyama ya geographic niliiga Kwa kufunga waya na mti mrefu aliponyanyia tu kichwa chake huyo black mamba(koboko) nikakibana na kumshika kwenye mkia na kuanza kumzungusha hewani kama dakika kumi na nilipomwachia akawa amelegea na hatinae kufa.Nilifanya Hivyo Kwa kuwa sikuwa na jua kama huyo nyoka ni hatari kiasi hicho.
 
Umenikumbusha zamani huyo black mamba nilimuona wakati nachunga ng'ombe nikaanza kumkimbiza akawa anasimama anainua kichwa chake.kutokana na kuangalia sana movies zinazohusu wanyama ya geographic niliiga Kwa kufunga waya na mti mrefu aliponyanyia tu kichwa chake huyo black mamba(koboko) nikakibana na kumshika kwenye mkia na kuanza kumzungusha hewani kama dakika kumi na nilipomwachia akawa amelegea na hatinae kufa.Nilifanya Hivyo Kwa kuwa sikuwa na jua kama huyo nyoka ni hatari kiasi hicho.
Bila shaka ...now ungekua na Mzee tupa tupa ...ahera madukani

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli. Moja ya nyoka mpole na mstaarabu ni black mamba(koboko).
Mara ya mwisho kumuona live ni Oktoba 2024 njiani. Mara baada ya kumuona nilisimama umbali wa mita 7 au 8 hivi. Kuonesha sio mshari,alikaa kwa takribani dakika 5 akiwa ametulia palepale. Kisha baadae alianza kuondoka taratibu.

Pia,kwa sie wakulima wa tumbaku tunakutana nao mara nyingi sana kwenye mabani ya kuchomea tumbaku kwani sehemu hizo zinakua na utulivu hasa nyakati za kiangazi na pia ni mawindo yao ya mijusi na panya. Zoezi la ukataji kuni za kuchomea tumbaku nalo hutukutanisha na nyoka huyu hatari kwani hupendelea kuishi kwenye miti mikubwa yenye mapango.

Nyoka hatari ambaye mkionana tu huanza kutengeneza mashambulizi ni Cobra (swila) ambaye ni mweusi. Yeye akikuona hata kama ni nyoka mdogo lazima kwanza ainue kichwa,mdomo wake hutanuka na kuanza mashambulizi kwa kutema mate.

Utofauti wa cobra na black mamba (swila na koboko) ni kua, swila ni mweusi na mkorofi hata usipomchokoza ,pia sumu yake si kali sana kama ya koboko. Lakini koboko yeye mara nyingi ni mtaratibu,ila ukimchokoza balaa lake sio la kitoto. Anakimbia mno, sumu kali sana ambayo inadaiwa kuua binadamu chini ya dakika 20 endapo atachelewa kituo cha afya. Black mamba hua na rangi ya kijivu au kijani. Anaitwa black mamba sio kwa kwasababu ya rangi yake,bali rangi ya mdomoni mwake ndio nyeusi.
Nakumbuka huyo cobra tulilala nae ndani mpka hasubuhi ingawa dk za mwisho alimtemea mate sister mtoto wa Shangazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom