Recent content by Ezenwe Olumba

  1. E

    Wakazi wa Ngorongoro, tunawakumbusha tu kwamba hata sisi wa maeneo mengine ya Tanzania, kama Kuna maslahi ya umma, tulihamishwa

    uma wa watanzania ndio wa miliki wa ardhi huku raisi akipewa mamlaka ya kusimamia ardhi na uma wa watanzania, kumbuka kusimamia ni tofauti na kumiliki. umma ndio unapaswa kuwa na kauli ya mwisho juu ardhi yao baada ya maridhianoo ya pande zote mbili. Je wamasai wameridhia ardhi yao...
  2. E

    Rais Samia: Majirani zetu wanazo The so called 'Tume Huru', hawana migogoro? Auliza nini kinafatwa kwenye tume huru

    Muhimu kuwe na Uhuru ndani tume ili time iwe huru. Watumishi wa tume wanapaswa kutoingiliwa na mamlaka yoyote katika utendaji wa kazi. Hata hii time ni huru Ila dosali unaanza pale matokeo yanapoamuliwa nje Kura halali. Tutatambua kuwa time ni huru endapo tutaacha maslahi binafsi na...
  3. E

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Kwa mtazamo wako wew ni masikani na Kama ni mbunge Basi nyie ndio chanzo Cha huu umasikini na ufukara uliopo. Elewa kwamba umasikini ni neno ambalo ni husianishi na vitu vingine. Usifikirie kuhusu hivyo vyakula, mavazi na malazi. Fikiria mbali kuhusu Uhuru wa kifedha, kuigusa jamii...
  4. E

    BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi

    Tunataka ukweli na Maliziano ili kuliponya taifa na wale waliotumika vibaya wawajibishwe kwa mujibu wa Sheria za nchi
  5. E

    Mgogoro wa ardhi Ngorongoro usiposhughulikiwa vizuri waweza kuwa kitisho cha usalama kwa Taifa

    Muhimu kuwa na uwiano wa idadi ya watu wanaotakiwa kuwepo huko. Lakini nasikitika kusikia kuwa Kuna mahoteli ya kitali yaliyojengwa bila Environmental Assessment Impact. Ngorongoro ni Eden ya Leo duniani. Iwekewe masharti ya faida pande zote mbili.
  6. E

    Mbunge Tarimba apendekeza TANESCO kufumuliwa na kuwepo kampuni 3 kwa ajili ya Uzalishaji, Usafirishaji na Ugawaji umeme

    Tanesco ya sasa ndio muundo wake ulivyo, Kama hujui nakupa taarifa japo zipo chini ya board moja
  7. E

    Watumishi matumbo joto, boss mpya Polisi yule...

    Habari ya Songea bwashee
  8. E

    Ukiukwaji wa maadili (unethical conduct) na professionalism kati ya DCI Boaz na Luteni Urio kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

    Jamaa kawahadaa Wana kuwa ni kazi ya ulinzi huku Leo anapaka upupu akijua fika kuwa huo upupu unamfaa yeye kuupakaa. Mchaga michosho ngachoka
  9. E

    Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

    Kasema aliwatafutia kazi ya kumlinda mbowe na Wala sio ugaidi, kesi imeisha hapo.
  10. E

    Zanzibar kukodisha/kuuza visiwa vyake: Iko vipi?

    Permitted land exploitation, ni organazide Ni mfumo mzuri wa unyakuzi wa Ardhi hasa unapokuwa katika Hali ya uwekezaji katika tasinia mbili, uwekezaji katika utalii na kilimo. Ubaya huanza pale ubaguzi unapoanzia. Hii mikataba iendane na haki sawa kwa wafanyakazi na wale wanaopaswa kuingia hapo
  11. E

    Zanzibar kukodisha/kuuza visiwa vyake: Iko vipi?

    Swala la Ardhi sio la Muungano acha wapambane wao
  12. E

    Alex Msama naye achukua fomu ya kugombea Uspika

    Wanaongeza mapato ccm. Msama akipata kiti atupiga Sana maana ni Mzee wa magumashi Sana.
  13. E

    Mfumuko wa bei Zanzibar sasa imekuwa gumzo. Ni wakati sasa Rais Dkt. Mwinyi kujitafakari

    Bora nyie, sir bara mkare super loaf ni 1400 tshs, Michele Kati 1800 low quality mpaka 2600 high quality, mafuta ya kula kwa lita no kuanzia 5000 mpaka 8500 kutegemea na Sina ya mafuta. Wanzanzibari mshukuruni hata huyo mwinyi.
Back
Top Bottom