Sidhani kama kuna wachungaji wanaowaambia washirika wao waanze kunena kwa lugha.kama wapo basi hao huduma sio yao wanaongozwa na roho za kipepo.kunena kwa lugha nikarama zinazotolewa na Mungu mwenyewe kulingana na yeye apendavyo kulingana na wewe umekaaje na Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.