kwa nini CCM saiv wanaigaiga tu? Wameiga mengi ya UKAWA. mfano utaratibu wa wanawake kukaa mbele kwenye mikutano, namna ya kunyoosha mikono kwenye mikutano na kusema mchakamchaka, namna ya kubandika mabango. Mbaya zaidi sera za Magufuli ni za UKAWA mfano neno MABADILIKO, maskini wa Mungu bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.