East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Kazi ya polisi ni kushughulikia mtu ambaye anaenda kufanya fujo mkutano wa mtu mwingine AMBAO Haumhusu.Mkutano ukiwa wa Maghufuli mwachie maghufuli mkutano wakeBila shaka mnaelewa kilichompta dr.Kalokola alipoenda kufanya vurugu mkutano wa Lowassa.Wafuasi wa Lowassa hawakusubiri hata polisi wawashughulikie walishughulika naye na kumpiga ngwara pale pale.Vivyo hivyo mtu akienda kumzomea awe lipumba au Magufuli au Slaa kwenye mkutano wake lazima nguvu ya dola itumike kumshughulikia kikamilifu. USHAURI WA BURE KILA MTANZANIA AKAE MBALI NA MKUTANO USIOMHUSU YASIJE KUMPATA YASIYOMHUSU.Maghifuli hakuhusu kaa mbali naye mwache afanye mkutano wake bila presha