Recent content by Extrovert24

  1. Extrovert24

    Vat leaching process (wenye kuelewa kwenye shughuli za uchenjuaji wa dhahabu)

    Naomba nikucheki pm bro nipate maelekezo zaidi
  2. Extrovert24

    Vat leaching process (wenye kuelewa kwenye shughuli za uchenjuaji wa dhahabu)

    NImeuliza mtu akaniambia inabidi ujue sulfide content, ujue copper content iliyopo akasema huwa kuna formula wanaitumia kulingana na content ila haijui. Ndo nikaja humu nipate msaada
  3. Extrovert24

    Vat leaching process (wenye kuelewa kwenye shughuli za uchenjuaji wa dhahabu)

    Habari wakuu, samahani naomba kuuliza kwa wenye kuelewa kwenye shughuli za uchenjuaji wa dhahabu. Naomba kueleweshwa namna unavyoweza kujua ni kiasi gani cha lead nitrate, ammonium nitrate pamoja na hydrogen peroxide unachoweza kuweka kwenye maandalizi ya solution. Naombeni tafadhali...
  4. Extrovert24

    Hii ndio siku nilipogundua rafiki yangu ni nyoka, wewe ulijuaje rafiki yako ni msalaliti ?

    Ukijifanya mwingi wa kumudu ngumi za watu, unataka msaada wa nini sasa. Nakuacha ufilie mbali mim, niingilie ugomvi usonihusi
  5. Extrovert24

    Msaada kuhusu mtaala mpya Kwa level ya Advance

    Habari Wana JamiiForum, naomba msaada wa topics zinazopatukana kwenye mtaala mpya wa A level katika masomo ya Biology, Chemistry na Physics, watakao anza nao form five wa mwaka 2025. Lakini pia kama Kuna mwenye pdf anisaidie kupata nitashukuru sana. Naomba kuwasilisha wakuu
  6. Extrovert24

    Mtaala mpya wa A level Kwa 2025/2026

    Habari wakubwa, natumai mko vizuri, Niende Moja Kwa Moja kwenye maada, nilikuwa naomba Kwa wale wadau wa elimu wanisaidie nifahamu topics za Biology, Chemistry na Physics hasa Kwa Form five, lakini pia kama naweza kupata Pdf ya hivyo vitabu nitashukuru sana. Naomba kuwasilisha
  7. Extrovert24

    Makocha wanaotisha zaidi Duniani

    Niko kuwatania wanangu wa Man U 😅
  8. Extrovert24

    Makocha wanaotisha zaidi Duniani

    Makocha ambao inabidi waheshimiwe kwa kuubadirisha ulimwengu wa soccer
  9. Extrovert24

    Tunaomba watu wastaafu wakiwa 45 years (maisha ya nchi yetu ya Tanzania)

    Habarini wana Jf, Katika Nchi yetu ya Tanzania population inazidi kuwa kubwa hasa na takribani miaka 100 ijayo Tanzania inaweza kuwa kwenye top ten ya Nchi zenye population kubwa duniani kulingana na Takwimu, hivo kutokana na ukuaji wa population wasomi wanazidi kuwa wengi, shule zinakuwa...
  10. Extrovert24

    Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

    Duuhh Mwanamama Kazingua kwa kutokusema ukweli. Hapo ushauri hatuna sisi ila ...
Back
Top Bottom