Recent content by EXPULSION

  1. E

    MAMA SAMIA HANA KIPENGELE LABDA KIPENGELE UJE NACHO WEWE

    Sina mengi ya kuongea, Kipengele uje nacho wewe Asanteni sana
  2. E

    Naomba msaada wa ramani ya nyumba, au mchoraji anakaribishwa

    Kimoja ni kiwanja cha serikali, kingine sio cha serikali. Kwa maana hiyo washauri serikali kwanza waache kupima viwanja vya saizi hiyo
  3. E

    Naomba msaada wa ramani ya nyumba, au mchoraji anakaribishwa

    Ukubwa wa viwanja Kiwanja cha kwanza 20*23- vyumba vya kupangisha, mchanganyiko, single na chumba na sebule Kiwanja cha pili Urefu 31m Upana 17.5m Nyumba moja ya kuishi yenye ghorofa moja Naomba kuwasilisha
  4. E

    Kodi ya jengo kuondolewa kwenye luku

    Ibakie huko huko kwenye luku
  5. E

    PreGE2025 Kumbukizi: CUF walivyopigwa kama mbwa kipindi cha Mkapa. Je, Samia naye atakuja kujutia haya anayotenda sasa kama Mkapa?

    Duh, hii balaa. Kuna ishu ya mwembechai, nilionaga video, machozi yalinitoka
  6. E

    Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!

    Kuuchukua usultan wa Oman, kwani yeye ndio alikuwa boss. Yaani makao makuu ya Oman sultanate yalihamishiwa Zanzibar na Sultan Said Sayid, Sasa wakanogewa, kule akaachwa Sultan mdogo
Back
Top Bottom