Recent content by Exile

  1. Exile

    Mbunge apata kigugumizi kuongea Kingereza. Aomba po! "I'm sorry"

    Hao wanaopiga meza wana maana gani?
  2. Exile

    Namlisha mawazo Mwigulu; "Huyu John Heche anajiamini nini huyu"

    Hiki ndo kitu inabidi viongozi wote wa chama wakifanye, hapo inabidi waongeze kuhubiri chuki chuki chuki
  3. Exile

    PostGE2025 Kwahiyo huyu ndie wamemtuma kujibu ripoti ya CNN? Ila hawa mashehe wanachokitafuta watakipata

    Tunao waamini kuwa viongoizi wa sasa wamekuwa wabinafsi kuliko, nyerere angekuwa mbinafsi baaadhi ya nchi zingechelewa sana kupata uhuru, kiongozi wa dini tunategemea awe na huruma na utu yeye wakenya kuongelea
  4. Exile

    DP World Ilivyozima dili chafu za TEC. Bandari ya Dar, hasira kwa Rais Samia

    Uzuri wa wananchi mitaani hawaangalii dini hata tarehe 29 watu walisaidiana kibinadamu sio kidini
  5. Exile

    Kuanzia Oktoba 29 thamani ya nguo za CCM zimeporomoka kwa kasi

    Hata baskeli hazionekani, mimi hata salamu na watu hao sina
  6. Exile

    Mnampigiaje kampeni humu mgombea ilhali mmefungia JF?

    Wamekuwa na makwazo sana
  7. Exile

    Mnampigiaje kampeni humu mgombea ilhali mmefungia JF?

    JamiiForums ipo kwa ajili ya mambo mbalimbali, nje ya yote inawaunua vijana kufanya biashara zao humu na kupunguza ugumu wa maisha. Lakini wote mashahidi september 06 mwaka huu JF ilifungwa rasmi na kuacha usumbufu mkubwa kwa watumiaji hasa wafanyabiashara, Hoja yangu kwanini zile...
  8. Exile

    Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Kama ni kweli basi kakake kakosea alivosema ana chip
  9. Exile

    Yule msemaji wa Hamas Abu Ubaida IDF wamepita naye

    Tayari wamepita na balaza kama lote la mawaziri huko yemen naye atafata tu
  10. Exile

    Maulid Kitenge na wengine mmetuonyesha kuwa ajira za Tanzania ni holela sana. Inakuwaje miaka 20 kazini huna cheti cha taaluma?

    Ila kwa mmbunge anaje jua kusoma na kuandika na ndo watunga sheria
Back
Top Bottom