Recent content by Exile

  1. Exile

    JamiiForums Tanzania KERO NMB Bank Account No. 31110007120, Jina: Deogratius Pio Kisandu (Civilian-Coin),Tawi; Kenyetta-Mwanza, Cheque No. 110838109. Pesa zote zimetaifishwa.

    Ukiangalia na kakideo kake ndo utajua jamaa anaitaka hatari yeye mwenyewe
  2. Exile

    JamiiForums Tanzania KERO NMB Bank Account No. 31110007120, Jina: Deogratius Pio Kisandu (Civilian-Coin),Tawi; Kenyetta-Mwanza, Cheque No. 110838109. Pesa zote zimetaifishwa.

    M80 ni nyingi lakini kwa alio wataja wote kisa M80 ni uongo
  3. Exile

    JamiiForums Tanzania KERO NMB Bank Account No. 31110007120, Jina: Deogratius Pio Kisandu (Civilian-Coin),Tawi; Kenyetta-Mwanza, Cheque No. 110838109. Pesa zote zimetaifishwa.

    Huyu ni mjinga watu wanajadili mambo ya maana kwa taifa yeye analeta ujinga hiyo video ameiweka ukisikiliza na kawimbo kasiko eleweka
  4. Exile

    JamiiForums Tanzania KERO NMB Bank Account No. 31110007120, Jina: Deogratius Pio Kisandu (Civilian-Coin),Tawi; Kenyetta-Mwanza, Cheque No. 110838109. Pesa zote zimetaifishwa.

    Sijaelewa hiyo habari vizuri, naona tuhuma kwa watu wengi wenye nguvu kwa hela hiyo na watu walio tajwa sio ya kweli
  5. Exile

    JamiiForums Tanzania Alphonce Muyinga: Wachochezi lengo lao na dhamira yao sio kuwasaidia Watanzania bali ni kuwaumiza watanzania

    Kwani huyu jamaa ni nani?
  6. Exile

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu ajiuzulu kwa muda CHAUMMA kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili

    Hili swala nililiona, sasa zimeanza chokochoka za akina yericko na akina mchome
  7. Exile

    JamiiForums Tanzania JWTZ: Wasioitakia mema nchi yetu wanahamasisha kufanya vurugu, hatutasita kuchukua hatua

    Duuh kazi na utu? Sikujua hizi habari zinakuwa na hamasa hivi hadi jeshi litoke kutoa maelezo
  8. Exile

    JamiiForums Tanzania Tulipofikia Tanzania, inabidi tufanyaje?

    Wakuyageuza ni wananchi wenyewe ila viongozi hapana
  9. Exile

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Sina heshima na wanaharakati hata kidogo na sijali, ni wahalifu wa nchi hii

    Waziri mkuu.. tumepatikana aisee
  10. Exile

    JamiiForums Tanzania Tulipofikia Tanzania, inabidi tufanyaje?

    Kwa yaliyo tokea hakibadiliki chochote
  11. Exile

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tumemkamata Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Geita Neema Chozaire kwa tuhuma mbalimbali za kijinai

    Ipo siku hayo yote yatapatiwa majibu huku mkijibu kwa majuto na kutia huruma mungu naomba uzima
  12. Exile

    JamiiForums Tanzania Tulipofikia Tanzania, inabidi tufanyaje?

    Ccm ilisha kataliwa toka tarehe 29-10
  13. Exile

    JamiiForums Tanzania Tulipofikia Tanzania, inabidi tufanyaje?

    Tanzania ni nchi iliyojengwa juu ya msingi wa amani, umoja na mshikamano. Hata hivyo, hali ya sasa imewafanya wananchi wengi kujiuliza mustakabali wa taifa letu. Moja ya changamoto kubwa zinazozungumzwa ni kupungua kwa muunganiko miongoni mwa wananchi. tofauti za kisiasa, zimeongeza...
  14. Exile

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu ajiuzulu kwa muda CHAUMMA kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili

    Hii inaweza ikawa ajenda ya kujaribu kututoa kwenye mambo ya maana au ni njia ambayo wanataka kuendea CDM
Back
Top Bottom