Recent content by Evelyne David

  1. E

    Serikali yaonya Shule binafsi kuhusu michango

    Mbona wao waeonesha harusi TBC wakati ni channel ya kitaifa waache na wao c biashara kama biashara zingine. Mtu akikubaliana na bei anapeleka mwanae bana
  2. E

    Mkemia mkuu Tanzania: DNA yabaini 49% watoto sio wa baba halali

    Hapana jaman c kwamba wanawake hawana huruma maisha ya ndoa ni siri kati ya wanandoa hiwez jua ni nn kinamfanya mwanamke au mwanamme atoke nje ya ndoa. C kwamba wanawake tu ndo wanaongoza kwa kuzaa nje nawanaume wapo tena wengi ti. Sema maadili yetu ya kitanzania ni aibu kwa mwanamke kuzaa nje...
Back
Top Bottom