Kweli ni jambo LA kushangaza kuwa neno mapenzi ni will katika kiingereza wakati neno upendo ni love.sasa kwa nini watu husema nimefanya mapenzi na yule kaka au yule binti wakati neno hill halimaanishi kungonoana?alafu je neno hili linafaa
Nawaulizeni watanzania kweli nchi hii ni ya ccm au ni ya watanzania?.wabunge wa upinzani kufurushwa bungeni kama kwamba wameua ni jambo LA kushangaza sana.je huu ni udikteta au uongozi bora?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.