Naomba unieleweshe mtaalama jinsi ya kuotesha mbegu ya mstafeli kwani nimepanda na umepita muda sasa sioni hata dalili ya kuchepua na sijajua tatzo nin
Samahanini wanajf nimepanda mbegu za mstafeli lakini mpaka sasa bado hazioti na hii ni kama wiki ya pili sasa. Sijujua nimekosea wapi naomba kwa anayejua anieleweshe
Wapendwa wanajf naomben ushauri wenu ili niwahi kuzijua na kuzicover mapema topics zenye maswali common Kwenye Physics na Bios advance kwan naamin humu wapo watu mbalmbal wanaoweza kunisaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.